Baada ya kupaona nyumbani kwa marehemu Mafuru, sina budi kusema bado nina safari ndefu sana ya kutafuta pesa

Nashauri hiyo pesa ukiipata Jenga Hilo jumba la kifahari Mbinguni/Peponi. Huko hakuna kufa Wala kupotea.
Vya Dunia na fahari zake zooote vitapita Wala havitakusaidia.
 
Kuishi maisha mazuri kila mtu anapenda japo nawakumbusha tu kuwa, huko kwa Mungu kutakuwa kugumu sana. Tutengeneze mambo yetu hapa duniani, muda tunao....
Ukipata kipato kizuri, usisahau kuwasaidia wenye shida lakini muhimu zaidi jitahidi usiwe sababu ya wengine kuishi maisha ya taabu hapa duniani
 
Mimi nawakumbusha tu kuwa, huko kwa Mungu kutakuwa kugumu sana
Tutengeneze mambo yetu hapa duniani
Tunakimbizana na miaka 80 ya hapa duniani tunasahau miaka elf, elf ya huko kwa Mungu
Ndicho wazungu walichofanikiwa kutupumbaza, wao wanavuna madini yetu na kutupa moyo kwamba tubaki masikini ili tuenjoy na Mungu.., kwani wao hawataki kuenjoy na Mungu? Mungu yupo hapa hapa duniani, na maisha ndio haya haya, enjoy.
 
Hata ukiishi mtaroni ukifa unauacha mkuu.
 
Duh ila watu mna data aisee..mpaka aliyempatia kiwanja!

Au ndo maana hajazikwa kwao Mara, mke wa kichagaa alikataa?
 
Nipo msibani kwa marehemu bunju A karibu na mianzini. Hakuna anayelia hata mmoja sijui kwann?
 
Umenena vyema.
Waafrica tusingekuwa wabinafsi nchi zetu zingeendelea sana.
Imagine mtu kapewa dhamana ya kusimamia mradi wa maji ama zahanati ila anaiba ela za mradi na kufanya mradi usikamilike ambapo wananchi wanakosa matibabu na huduma za maji.
Sema tatizo waafrica tunaleana sana. Siku ikitokea tukapata viongozi wenye kuweka miongozo mikali na kuisimamia,naamini tutafika mbali.
 
Ndo hajaifaidi kaiacha sasa.

Kikubwa ni legacy aliyoiacha
 
kabisa full umasikini mindset na kujifariji kipuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…