Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Kazichukue sasa mali za mwsnaume mwenzio...unakaa inashangilia mali za mwansume mwenzio au wewe umeshsaga njia?ushauri wa mtu fukara aliyekata tamaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazichukue sasa mali za mwsnaume mwenzio...unakaa inashangilia mali za mwansume mwenzio au wewe umeshsaga njia?ushauri wa mtu fukara aliyekata tamaa.
Wewe tajiri hapa unafanya nini? Maskini ndio mnawaza hiv8 mkifhani kwa kuongea ongea tu basi mmeshakuwa matajirikabisa full umasikini mindset na kujifariji kipuuzi.
Na wewe hivi ulivyocomment ulivyomjinga unajiona umeshakuwa tajiri.Nimesoma comments zimejaa chuki kwa kweli, watu wameacha kukubali ukweli kuwa jamaa alikuwa anaishi sehemu nzuri enzi za uhai wake ila watu wamebaki jifariji na maneno ya uwoga, chuki, wivu na makasiriko kuwa vyote ameacha duniani kikubwa He lived his best life thats what matter.
Every African civil servant is by default a potential or/and a thief.Niliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Well said legacy and not otherwiseNdo hajaifaidi kaiacha sasa.
Kikubwa ni legacy aliyoiacha
Boss umesema kweli mda mwingine mtu apewe maua yake tusiwe wachoyo wa sifa, kama huna ongeza juhudi upate ila sio kudai ni mambo ya kupita na amini hakuna anae penda kulala mahali pahovyo hakuna asiependa kuishi sehemu nzuri ila ni vile tuna fikra na juhudi tofautikabisa full umasikini mindset na kujifariji kipuuzi.
Unalala pahovyo kumbe? PoleBoss umesema kweli mda mwingine mtu apewe maua yake tusiwe wachoyo wa sifa, kama huna ongeza juhudi upate ila sio kudai ni mambo ya kupita na amini hakuna anae penda kulala mahali pahovyo hakuna asiependa kuishi sehemu nzuri ila ni vile tuna fikra na juhudi tofauti
Soma kuelewa sio kujibu, huni fahamu kifupi nina maisha tuishie hapo. Nacho jaribu kufanya nikutoa wito tupambane tuache akili za kimaskiniUnalala pahovyo kumbe? Pole
Braza pambana bado una safari ndefuSoma kuelewa sio kujibu, huni fahamu kifupi nina maisha tuishie hapo. Nacho jaribu kufanya nikutoa wito tupambane tuache akili za kimaskini
Ohooooo.... Nikajua alikuwa na sitina naa! ..... LahaulaaaNyumba ya milele ni Kaburi , usiingie msongo wa mawazo wa bure. Huyo Mafuru amekufa akiwa na miaka 52 tu.
Consequences za kuendekeza 👙 hizoOhooooo.... Nikajua alikuwa na sitina naa! ..... Lahaulaaa
elewa tu wewe ni kiazi unaacha kutafuta vyako unalaani wenzio masikini mkubwa wewe, na mawazo yako ya aliyekupa wewe sijui ndio kanyima nini , wee kiufupi ni maskini wa vyote roho na mwili,Wewe tajiri hapa unafanya nini? Maskini ndio mnawaza hiv8 mkifhani kwa kuongea ongea tu basi mmeshakuwa matajiri
Mpumbavu ni wewe unaeshoboka na nyumba za watu nyang'ao mkubwaUshuani ndio wapi wewe mpuuzi!? Wivu na roho mbaya vinakusumbua.
Lahaulaaa.... Shida ukiwa na pesa hizi 👙Huwa zinasogea kwelikweli.... Mtu anajikuta ashazama pabaya....noma sanaConsequences za kuendekeza 👙 hizo
Si kweliNiliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Well saidBila kujali mali zake alizipataje lakini ameviacha vyote.
Watabaki wanatafuna wale ambao hawakutoa jasho hata siku moja. Na hao ndio wajanja
Hapa ndio shida inaanzia, wengine huko serikalini na wao watasema kama mwenzetu aliweza sisi tushindwe nini. Mimi simjui marehemu najuwa tu mfanyakazi wa serikali sasa hatujiulizi tu huu utajiri umetoka wapi? pesa halali au ndio zile.... marehemu sio peke yake nchi ingekuwa serious wafanyakazi wengi unaambiwa hongera kwa jumba hili lakini tuoneshe ulliwezaje? labda ana biashara nje labda mikopo ataonesha au karithi lakini sisi tunashangilia mwajiriwa tu wa serikali kwa mishahara gani?Niliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Lakini amefariki na wewe unapumua..Niliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu