Baada ya kutangaza kugombea u/kiti CDM, ni kosa TAL kuendelea kuwepo nchini. Wakati sahihi kuwepo ni siku ya uchaguzi wenyewe. Sababu hizi hapa.

Baada ya kutangaza kugombea u/kiti CDM, ni kosa TAL kuendelea kuwepo nchini. Wakati sahihi kuwepo ni siku ya uchaguzi wenyewe. Sababu hizi hapa.

TRAT

Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
73
Reaction score
160
Ana maadui wengi, Kwa hiyo hawezi kujulikana yupi kamudhuru.
1. Adui walioko ndani ya chama chake wakihusika watasema ni watawala.
2. Watawala wakihusika watasema ni maadui ndani ya chama chake.
3. Vyama vingine vya upinzani vikinusika vitasema ni watawala au wenzake ndani ya chama chake.
Kwanini kati ya hao watatu mmoja wao anaweza kuhusika na asihisiwe ni yeye na kwa nini ahusike. Nikianzia mwisho.
1. Vyama vingine vya upinzani; kama TAL atapata uenyekiti anaweza kukiimarisha chama hicho na kuzidi kuvifanya vikose nguvu na kukimbiwa zaidi na wanachamq wake. Kwa kuhusika kumudhuru TAL vinaweza kunufaika kupata wafuasi wa TAL wataokimbia CDM kwa hasira.
2. Kwa chama tawala; kwanza kina hofu na msimamo ya TAL, kina amini utulivu utaondoka nchini kama hakitatawala kwa haki. Na kwa walivyo wazuri kutengeneza propaganda hata wakihusika itaonekana ni Mbowe na chawa wake kama alivyowaita leo kwenye press. Makosa ya tweet kama Ex Mayor wa Ubungo kuita uamuzi wa TAL kugombea ni vita. Kunaweza kuhalarisha uhusika wa maadui ndani ya chama chake.
3. Uhusika wa CDM; kinaweza husika hasa kundi la wale wasiomuunga mkono na kujisafisha kuwa ni watawala wahusika wa hilo.
Kwa mtazamo wangu TAL anapaswa kuondoka hata Leo nchini, ili arudi siku ya uchaguzi ndani ya chama chake. Anaweza ratibu kampeni yake akiwa hata Kenya kwani hata mwilini mwake ana damu ya wakenya. Nahitaji kupiga kampeni sana, na alivyo na uwezo kujieleza anaweza shida kwa kujieleza ndani ya dk 5 tu siku ya kupiga kura.
 
Lissu analindwa na dola

Dola pia uchoka na maujinga

He is not alone at all!! the system is working 24/7

Kuelekea uchaguzi 2025 mtaona mambo mengi ya kushangaza

Hakuna mtu wa kumgusa kwa Sasa.
 
Kwa sasa ulinzi utaongezwa kwake 24/7.Kws hoja za Leo chadema ikitekeleza hata 50% tu itakuwa mbali
 
Na jinsi wanavyotekana! Kisa ni madaraka tu!
 
CCM wanaweza kumuwekea Tundu Lissu Sumu, halafu wakadai ni Mbowe kwasababu alisema "Sumu huwa haionjwi" namshauri Kamanda Lissu awe makini sana.

People's Power ✌️
 
Amini kwamba kuna vitu vina controliwa na Mungu, na baada ya vilio vingi Mungu husikia na kuandaa road Map!

Soma kutoka, Mungu ana mwambia Musa nimesikia vilio vyao na nimeshuka Kuwaokoa toka kwa Farao!

Mungu anasikia vilio vya wa Tanzania, hata Mama kuingia madarakan ni mpango wa Mungu ili kuwavuruga wawe na Makundi…...

No one can ever eliminate Lisu, tunamuombea sana, watakufa na watamuacha!
 
Watu wengi wanashindwa kuelewa hii nadharia..

Ujue taasisi/ chama/ NGO's hivi vitu vinaweza anza kwa idea ya mtu mmoja/ kikundi Cha watu then kikianza kukua ndipo hukaribisha watu wengi/ mbali mbali kwenye taasisi, NGO's, chama.

So hakuna mtu mwenye uchungu na chadema Kama mwenyekiti mbowe... So for years mbowe amekua anaogopa kumkabidhi kijiti mtu mwingine ambae anaweza kukiingiza chama shimoni kwaio najiuliza tundulisu aliwai kushauri yafanyike haya aliyo yasema Leo na hayakutekelezwa?!

For years CCM imekua ikitumia mbinu mbali mbali na ma bilioni ya pesa kudhohofisha upinzani Tanzania mfano ""KUUNGA MKONO JUHUDI"" zilikua ni drama na kupoteza mabilioni bureee

Sisi Bado somo la DEMOCRACY hatulijui kwani kuwa na itikadi tofauti ni UADUI huwa nafuatilia KIPINDI CHA MAKALA YA DAY 2 NEWS...makala ya Dr slaa inasemwa kwa kua alikua mpinzani alitengwa na maccm jimboni na kukosa ushirikiano wa DC, MKUURUGENZI na kila mwakilishi wa chama na serikali.

Kua mpinzani in third word countries ni kuchagua fungu la kukosa..it's not too late kwa lisu aamue kurudi CCM na akagombee ubunge singida then awe wazir aingie kupitia huko nadhani hii ilikua best move ever in his life.
 
Hakuna aliye tweet ujinga kama Ex Mayor wa Ubungo.
Kumbe hilo tumbo amejaza uharo tu?
Hata Nyerere muuza vitabu vya ujasusi fake naye ni wale wale.

Mbowe asipokuwa makini CDM itamfia kimzaha
 
Mwenyezi Mungu alimuokoa Lisu na mauti kwa vile hajamaliza kazi yake hapa duniani. Muda wa Bwana ukifika Mungu atampa
nafasi ya kutikoza alipopangiwa kuliganua na mola!!
Tumuunge mkono tumuombee!!
 
Ana maadui wengi, Kwa hiyo hawezi kujulikana yupi kamudhuru.
1. Adui walioko ndani ya chama chake wakihusika watasema ni watawala.
2. Watawala wakihusika watasema ni maadui ndani ya chama chake.
3. Vyama vingine vya upinzani vikinusika vitasema ni watawala au wenzake ndani ya chama chake.
Kwanini kati ya hao watatu mmoja wao anaweza kuhusika na asihisiwe ni yeye na kwa nini ahusike. Nikianzia mwisho.
1. Vyama vingine vya upinzani; kama TAL atapata uenyekiti anaweza kukiimarisha chama hicho na kuzidi kuvifanya vikose nguvu na kukimbiwa zaidi na wanachamq wake. Kwa kuhusika kumudhuru TAL vinaweza kunufaika kupata wafuasi wa TAL wataokimbia CDM kwa hasira.
2. Kwa chama tawala; kwanza kina hofu na msimamo ya TAL, kina amini utulivu utaondoka nchini kama hakitatawala kwa haki. Na kwa walivyo wazuri kutengeneza propaganda hata wakihusika itaonekana ni Mbowe na chawa wake kama alivyowaita leo kwenye press. Makosa ya tweet kama Ex Mayor wa Ubungo kuita uamuzi wa TAL kugombea ni vita. Kunaweza kuhalarisha uhusika wa maadui ndani ya chama chake.
3. Uhusika wa CDM; kinaweza husika hasa kundi la wale wasiomuunga mkono na kujisafisha kuwa ni watawala wahusika wa hilo.
Kwa mtazamo wangu TAL anapaswa kuondoka hata Leo nchini, ili arudi siku ya uchaguzi ndani ya chama chake. Anaweza ratibu kampeni yake akiwa hata Kenya kwani hata mwilini mwake ana damu ya wakenya. Nahitaji kupiga kampeni sana, na alivyo na uwezo kujieleza anaweza shida kwa kujieleza ndani ya dk 5 tu siku ya kupiga kura.
Sikubahatika kufuatilia press conference yake.
Vipi kulipatikana fursa kuuliza maswali?
Kama ilipatikana kuna muandishi alieuliza kama TL amepata baraka ya Mwenyekiti wa Sasa kuwania hiyo nafasi?
Kama hakupata haogopi kutesti poison kwa kui LICK?
 
Kuna mtu alitabiri kule mtandao X kama ulichosema
TISS si wapo field wanajua currently anayekubalika kwa umma ni Lissu so lazima wamlinde hakuna namna akipata Cha kumpata na wao ofisini hapakaliki

Mbowe apumzike watu wengine wafanye kazi!!
 
Back
Top Bottom