Pre GE2025 Baada ya kutenguliwa Nape kaamua mazima na kufuta account yake X (Twitter)?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hawana umhimu wowote
 
Hiki ulichoandika ni proof kwamba upumbavu ulio nao hauwez kutoka..!
 
Wewe ndio huna akili, kwani hela za Vodacom zinabaki hapa Nchini, Halotel je?

Sasa hata hao Starlink wasipokuja na TTCL hawezi kazi hiyo hela ya mkongo wa taifa itarudi vipi kama ttcl biashara hawezi?

Kama serikali inawekeza kwenye mkono na bado watu hawaoni faida yake, hilo hela zitarudi lini, kwa kuwanyima Starlink leseni?

Wewe mwenyewe unasema serikali imeshimdwa kutabana makampuni ya ndani kunyonya wananchi lakini wakati huo huo unasema operators wengine ambao wana bei ndogo wazuiliwe kuingia sokoni kuwasaidia ama kuwapa watu huduma ya bei nafuu, hivi unatumia kichwa kufikiri ama masaburi?
 
Kuna nyaraka ya siri nataka nikupenyezee
 
Kwamba nchi zilizokubali starlink zenyewe hazina mkonga wa taifa au hazijawekeza? Unapokuwa na bidhaa nyingi sokoni ndio mteja anapata wigo mpana wa kuchugua bidhaa ambayo ni quality kwa bei affordable,hivyo basi inabidi tuwe na ushindani kwenye hizo bidhaa Ili tuchague ipi ni nzuri,Kuna watu wengine hawajui hata ttcl wanajua voda,tigo Airtel na halo,kama ni Swala La hasara kwanini serikali isiwazuie hao private company maana hakuna tofauti kati ya hao kina voda na starlink
 
Sasa hao Wanausmart gani ukitoa wazazi wao kuwa wahenga wa CCM Wana sifa gani ya ziada maana hao hata form four walifeli na Bado wakafoji vyeti ili waendelee kusoma
Kwahiyo kufaulu Fizikisi na Hisitori vinahusianaje na Usmart wa Siasa?

Samia alifaulu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…