Baada ya kuwapuuza wanachama hawa maisha yangu JF yameboreka sana

Baada ya kuwapuuza wanachama hawa maisha yangu JF yameboreka sana

Kuna MK254
Uzi wa vituko 😂😂😂

Kha! Sikujua likes zangu zinawakera, siku zote "like" yangu huwa sincere maana kwanza huo uzi wa "vituko" huwa naufuatilia sana, hayo mapicha hunipa raha sana na huwa nayapa like au ishara ya kucheka pale picha imenichekesha, humo kunao akina Shimba ya Buyenze Mshana Jr sijui huwa wanayatoa wapi.
 
Kha! Sikujua likes zangu zinawakera, siku zote "like" yangu huwa sincere maana kwanza huo uzi wa "vituko" huwa naufuatilia sana, hayo mapicha hunipa raha sana na huwa nayapa like au ishara ya kucheka pale picha imenichekesha, humo kunao akina Shimba ya Buyenze Mshana Jr sijui huwa wanayatoa wapi.
Noo
Hazitukeri
Achana na huyo msukuma mtoa uzi.

Si hapa tunawa appreciate wazee wanaomwaga likes ❤️🔥
 
Hii ipoje 😂

Mkuu nikumbushe zwange ndaba ni nani?
Zwenge ndaba alikua Kiongozi wa wangoni kutoka south Africa uko,alikua na Shaka Zulu,wakaondokakwa ajili ya mfekane war,ndio wengine wakaingia tanzania,,wangine Malawi .na nchi nyingine ,uyo ndio alikua African king,mbabe balaa,kila watakapoenda wanavamia ,wanasambaza kipigo alafu wanakaa wao
 
Back
Top Bottom