dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
kwa yale ya jana , namuonea donge🤣🤣🤣Ngoja aje athibitishe mwenyewe Half american
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa yale ya jana , namuonea donge🤣🤣🤣Ngoja aje athibitishe mwenyewe Half american
Hii ipoje 😂Kuna watu wana like mpaka like yenyewe
Mungu awabariki wanaolike comments zetu maana Kuna muda unakosa like mpaka unajihisi...hee😳 au mi ndo naandika pumbar tu daily. raraa reree , Extrovert , mkwepu jr , Half american ...May God bless you.🙏❤️❤️❤️
Kuna MK254
Uzi wa vituko 😂😂😂
Wewe subiri utaona ......like your like hahahhaHii ipoje 😂
Mkuu nikumbushe zwange ndaba ni nani?
Kuna Riffat9921 pia
NooKha! Sikujua likes zangu zinawakera, siku zote "like" yangu huwa sincere maana kwanza huo uzi wa "vituko" huwa naufuatilia sana, hayo mapicha hunipa raha sana na huwa nayapa like au ishara ya kucheka pale picha imenichekesha, humo kunao akina Shimba ya Buyenze Mshana Jr sijui huwa wanayatoa wapi.
ilimalizikia PM ile eti eeh🤣Wa kumlaumu ni Analyse
😂😂😂 hamnaHuyo anakuzimikia...hebu mcheck chemba nitakuwa mshenga
🤣No hakutaka tena...namsubiri Leo kama atahitajiilimalizikia PM ile eti eeh
😂😂😂 hamna
Ni anasambaza tu mapendo
Zwenge ndaba alikua Kiongozi wa wangoni kutoka south Africa uko,alikua na Shaka Zulu,wakaondokakwa ajili ya mfekane war,ndio wengine wakaingia tanzania,,wangine Malawi .na nchi nyingine ,uyo ndio alikua African king,mbabe balaa,kila watakapoenda wanavamia ,wanasambaza kipigo alafu wanakaa waoHii ipoje 😂
Mkuu nikumbushe zwange ndaba ni nani?
We komaa na viganja vyako si ni vitamu 😂Half american anafaidi sana kwa kweli
Nipe vinono mama mpaka waandamane kwa wivu 🥰😘🤣🤣🤣Ngoja aje athibitishe mwenyewe Half american
😂😂😂😂 dah!Ana like comments zako tu haki ya mama....
Kila mtu ana yule memba wake secreto admire.. ukikuta likes zake lazima utabasamu
[emoji3590][emoji3590][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
unakojolea pazuri sana, una bahati sanaWe komaa na viganja vyako si ni vitamu
Muite 🤣Wapendwa...thread inatembea mhusika simuoni au tumtag katuziria thread yake😳