Baada ya kuwapuuza wanachama hawa maisha yangu JF yameboreka sana

Baada ya kuwapuuza wanachama hawa maisha yangu JF yameboreka sana

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ dah!
Sijui aisee, ila ninamuonaga sana sana kwenye notification mpk nimemkariri

Ndio nakusanua hivyo Deb...๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š

Hizo anafanya ni mbinu za kivita, siku akirusha mistari uone ni mtu unayemjua tayari...

Nafasi yangu ya ushenga ipo pale pale usinitose eenh ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
Hao jamaa Ni wachonganishi kinoma wakikuta unagombana na mtu wana like comment yako unajua yupo upande wako baadae unakuta ka like na comment ya adui yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Zwenge ndaba alikua Kiongozi wa wangoni kutoka south Africa uko,alikua na Shaka Zulu,wakaondokakwa ajili ya mfekane war,ndio wengine wakaingia tanzania,,wangine Malawi .na nchi nyingine ,uyo ndio alikua African king,mbabe balaa,kila watakapoenda wanavamia ,wanasambaza kipigo alafu wanakaa wao
Nimekumbuka mkuu ni kitambo sana nondo zishaanza yeyuka kichwani
Wapendwa...thread inatembea mhusika simuoni au tumtag katuziria thread yake๐Ÿ˜ณ
Sasa yeye mwenyewe hapendi likes ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚atatuignore
unakojolea pazuri sana, una bahati sana
Wewe si utaki kufinyiwa kwa ndani au hiyo style kiganja kinaweza fanya๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Unafungua JF unakuta notifications kumi na, unafungua kujua walioreply na kulike comments zako. Unaingia unakuta ni member mmoja kalike comments zako kumi! Si zako tu. Kalike thread nzima. Inakata timu kabisa maana likes zenyewe siyo sincere.

Basi kwa shingo upande ikanilazimu kuwaignore members wote wenye tabia ya kulike thread nzima.

Experience yangu JF imeboreka sana.

To avoid criticism, say nothing, do nothing, be nothing" - Aristotle
 
Ndio nakusanua hivyo Deb...๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š

Hizo anafanya ni mbinu za kivita, siku akirusha mistari uone ni mtu unayemjua tayari...

Nafasi yangu ya ushenga ipo pale pale usinitose eenh ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nitakutafuta kwa muongozo zaidi
 
Back
Top Bottom