wilsonwizzo3
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 625
- 2,704
si niliwaambiaHalf american anafaidi sana kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si niliwaambiaHalf american anafaidi sana kwa kweli
mbona umehama mada sasa ?😘😘
Ndio uone unavyokosa mambo mazuri, kula mbususu mkuu utakuja kunishukuru
Ananichosha tu mikono yake na ufahamu wake😘😘
Ndio uone unavyokosa mambo mazuri, kula mbususu mkuu utakuja kunishukuru
Tuliisoma vyema Saikolojia na Kubobea nayo kwa hiki Ulichokiandika hapa tumegundua una Tatizo Kubwa sana la Afya ya Akili linalohitaji Tiba ya haraka Mirembe Dodoma, Lutindi Tanga na Muhimbili National Hospital Dar es Salaam.Unafungua JF unakuta notifications kumi na, unafungua kujua walioreply na kulike comments zako. Unaingia unakuta ni member mmoja kalike comments zako kumi! Si zako tu. Kalike thread nzima. Inakata timu kabisa maana likes zenyewe siyo sincere.
Basi kwa shingo upande ikanilazimu kuwaignore members wote wenye tabia ya kulike thread nzima.
Experience yangu JF imeboreka sana.
Upendo tu mkuu....afu ni kitu Cha bureItasaidia watu wafahamu umuhimu wa kupata likes mkuu wangu.
Kukupinga nimepita na kulike comments zoteUnafungua JF unakuta notifications kumi na, unafungua kujua walioreply na kulike comments zako. Unaingia unakuta ni member mmoja kalike comments zako kumi! Si zako tu. Kalike thread nzima. Inakata timu kabisa maana likes zenyewe siyo sincere.
Basi kwa shingo upande ikanilazimu kuwaignore members wote wenye tabia ya kulike thread nzima.
Experience yangu JF imeboreka sana.
KabisaKukupinga nimepita na kulike comments zote
View attachment 2536641
Charismatic fella kama charismatic fella 😎Tuliisoma vyema Saikolojia na Kubobea nayo kwa hiki Ulichokiandika hapa tumegundua una Tatizo Kubwa sana la Afya ya Akili linalohitaji Tiba ya haraka Mirembe Dodoma, Lutindi Tanga na Muhimbili National Hospital Dar es Salaam.
raraa reree Huwaga ana andika mara chache sana ila ni mtu powaa...Kwangu mtu muhimu kwa likes ni raraa reree ...barikiwa sana kijana
😂 naona unajizolea point 3 muhimusi niliwaambia
Mada ya likes 😂mbona umehama mada sasa ?
Kabisa atafika amechoka sanaAnanichosha tu mikono yake na ufahamu wake
Kuna namna hayuko sawa huwezi kumuignore member kwasababu amelike michango yako jukwaani.Tuliisoma vyema Saikolojia na Kubobea nayo kwa hiki Ulichokiandika hapa tumegundua una Tatizo Kubwa sana la Afya ya Akili linalohitaji Tiba ya haraka Mirembe Dodoma, Lutindi Tanga na Muhimbili National Hospital Dar es Salaam.
😂😂😂 nitakutafuta kwa muongozo zaidi
😊😊😊😅😅 una mahangaiko mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hao jamaa Ni wachonganishi kinoma wakikuta unagombana na mtu wana like comment yako unajua yupo upande wako baadae unakuta ka like na comment ya adui yako
Madam To yeye naamini hio ndo picha yako halisi Sasa kwenye avatar yako au sio?Mungu awabariki wanaolike comments zetu maana Kuna muda unakosa like mpaka unajihisi...hee😳 au mi ndo naandika pumbar tu daily. raraa reree , Extrovert , mkwepu jr , Half american ...May God bless you.🙏❤️❤️❤️
Haujiamini.Mungu awabariki wanaolike comments zetu maana Kuna muda unakosa like mpaka unajihisi...hee[emoji15] au mi ndo naandika pumbar tu daily. raraa reree , Extrovert , mkwepu jr , Half american ...May God bless you.[emoji120][emoji3590][emoji3590][emoji3590]