Baada ya kuwapuuza wanachama hawa maisha yangu JF yameboreka sana

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ dah!
Sijui aisee, ila ninamuonaga sana sana kwenye notification mpk nimemkariri

Ndio nakusanua hivyo Deb...😊😊😊

Hizo anafanya ni mbinu za kivita, siku akirusha mistari uone ni mtu unayemjua tayari...

Nafasi yangu ya ushenga ipo pale pale usinitose eenh πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Hao jamaa Ni wachonganishi kinoma wakikuta unagombana na mtu wana like comment yako unajua yupo upande wako baadae unakuta ka like na comment ya adui yako
🀣🀣
 
Hao jamaa Ni wachonganishi kinoma wakikuta unagombana na mtu wana like comment yako unajua yupo upande wako baadae unakuta ka like na comment ya adui yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimekumbuka mkuu ni kitambo sana nondo zishaanza yeyuka kichwani
Wapendwa...thread inatembea mhusika simuoni au tumtag katuziria thread yake😳
Sasa yeye mwenyewe hapendi likes πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚atatuignore
unakojolea pazuri sana, una bahati sana
Wewe si utaki kufinyiwa kwa ndani au hiyo style kiganja kinaweza fanyaπŸ˜‚πŸ˜‚
 

To avoid criticism, say nothing, do nothing, be nothing" - Aristotle
 
Ndio nakusanua hivyo Deb...😊😊😊

Hizo anafanya ni mbinu za kivita, siku akirusha mistari uone ni mtu unayemjua tayari...

Nafasi yangu ya ushenga ipo pale pale usinitose eenh πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nitakutafuta kwa muongozo zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…