Baada ya kuwapuuza wanachama hawa maisha yangu JF yameboreka sana

Tuliisoma vyema Saikolojia na Kubobea nayo kwa hiki Ulichokiandika hapa tumegundua una Tatizo Kubwa sana la Afya ya Akili linalohitaji Tiba ya haraka Mirembe Dodoma, Lutindi Tanga na Muhimbili National Hospital Dar es Salaam.
 
Kukupinga nimepita na kulike comments zote
 
Tuliisoma vyema Saikolojia na Kubobea nayo kwa hiki Ulichokiandika hapa tumegundua una Tatizo Kubwa sana la Afya ya Akili linalohitaji Tiba ya haraka Mirembe Dodoma, Lutindi Tanga na Muhimbili National Hospital Dar es Salaam.
Charismatic fella kama charismatic fella 😎
 
si niliwaambia
πŸ˜‚ naona unajizolea point 3 muhimu
mbona umehama mada sasa ?
Mada ya likes πŸ˜‚
Ananichosha tu mikono yake na ufahamu wake
Kabisa atafika amechoka sana
Tuliisoma vyema Saikolojia na Kubobea nayo kwa hiki Ulichokiandika hapa tumegundua una Tatizo Kubwa sana la Afya ya Akili linalohitaji Tiba ya haraka Mirembe Dodoma, Lutindi Tanga na Muhimbili National Hospital Dar es Salaam.
Kuna namna hayuko sawa huwezi kumuignore member kwasababu amelike michango yako jukwaani.
 
Hao jamaa Ni wachonganishi kinoma wakikuta unagombana na mtu wana like comment yako unajua yupo upande wako baadae unakuta ka like na comment ya adui yako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…