Inafikirisha unaweka mchango wako wa mawazo kwenye comment alafu no any reaction. Like ni muhimu ndio maana ikawekwa jf. Ni ishara ya kuwafikia na kukubalika michango yako kwa members.
Duh hiv kumbe watu huwa mnafatilia likes? Me nmeondoa kabisa kuona notification ya likes...Notification pekee niliyoweka ni ya replies tu bas.Mungu awabariki wanaolike comments zetu maana Kuna muda unakosa like mpaka unajihisi...heeπ³ au mi ndo naandika pumbar tu daily. raraa reree , Extrovert , mkwepu jr , Half american ...May God bless you.πβ€οΈβ€οΈβ€οΈ
Yes maana kwenye threads utaona walioona kupitia viewers ila comment yake like and other reactionsHivi Eeh [emoji28]
Vizuri mkuuDuh hiv kumbe watu huwa mnafatilia likes? Me nmeondoa kabisa kuona notification ya likes...Notification pekee niliyoweka ni ya replies tu bas.
Atakuwa kwenye uvuvi. Hana hiyo tabia kwa wengine.IDK
Me namuonaga sana
Naweza kuta notification 12
Zote zake
AminaHaujiamini.
Maana yangu ya kulike ni kuwa nimesoma πraraa reree na mkwepu jr wazee hao wanalike mpaka matusi
Hivi kumbe like mda mwingine inaweza kuchonganisha watu duh πHao jamaa Ni wachonganishi kinoma wakikuta unagombana na mtu wana like comment yako unajua yupo upande wako baadae unakuta ka like na comment ya adui yako
Likes zinaongea mkuu ohooπ€£Hivi kumbe like mda mwingine inaweza kuchonganisha watu duh π
π€£π€£π€£π€£Hao jamaa Ni wachonganishi kinoma wakikuta unagombana na mtu wana like comment yako unajua yupo upande wako baadae unakuta ka like na comment ya adui yako
Zina balaa kumbe sikujua hilo πLikes zinaongea mkuu ohooπ€£
Kama hujapendezwa na kitu kwanini ukilike?Maana yangu ya kulike ni kuwa nimesoma π
Kwahio nikilike tusi mda mwingine sio kwamba nimependezwa nalo π
We jamaa jibu hiyo PMπ€£π€£π€£π€£
πππ AiseeMungu awabariki wanaolike comments zetu maana Kuna muda unakosa like mpaka unajihisi...heeπ³ au mi ndo naandika pumbar tu daily. raraa reree , Extrovert , mkwepu jr , Half american ...May God bless you.πβ€οΈβ€οΈβ€οΈ
Nikisoma kitu napenda kulikeKama hujapendezwa na kitu kwanini ukilike?
Ndio mpk matusi?Nikisoma kitu napenda kulike
Huo ni uongo bwana. Likes zina umuhimu wake.Kutokujali umepewa like au laah.
Ni kipimo cha ukomavu.
Mtu kama unacomment then unachungulia wangapi wamelike, we bado hujakomaa.
Pm lini umekuja? Ngoja nifungueWe jamaa jibu hiyo PM