fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Makamba analalanikiwa kwa kosa lipi?kuna mtu anaweza kuweka ushahidi wa ubaya wa makamba?Uzuri ni kwamba Samia anapitia mitandaoni, jana nimeamini kwa hotuba ile.
Jinsi Makamba anavyolalamikiwa toka kila kona ya nchi, nitamshangaa sana akimwacha kuendelea kukalia ofusi ya wizara hiyo muhimu.
Kama anapenda kuendelea kumbeba ni bora akampeleka hata wizara ya utamaduni!
Lakini wizara ya Nishati inataka mtu serious asiye na chembe ya mashaka toka kwa umma.
J.Makamba na Mwigulu Nchemba,Hawa wanamchelewesha mama kileta maendeleo,ndoto yao Ni kuwaza uRaisi ndiyo maana walichora mawe nchi nzima.Mbarawa out, Jafo out,
Kajamaa huwa kanafiki sana.Nimetumwa na HK mzee wa #njeyabox anasema dua zenu tafadhali ili awepo kwenye teuzi
January hawezi kupigwa chini, maana jana alisaidiwa kabisa na mkulu kumsemea kuhusu kupandisha bei ya connection charges pale Tanesco na akamuagiza akafanye kazi, that implies walau yeye ana uhakika. Unless nawe awe na homa ya "UKULU 2025"January ni chaguo la Kikwete ila mama ni lazima ampige chini Kwani hana manufaa
Huyo namba 1 hawezi toka yuko kwa baraka za Msogani Enterprises!Wanaotoka
1. January Makamba
2. Suleiman Jaffo
3. Mwigulu Nchemba
4. Dotto Biteko
5. Dorothy Gwajima
6. Jenister Mhagama
7. Palamagamba Kabudi
Wanaoingia
1. Ridhiwani Kikwete
2. Nape Nnauye
3. Hamis Kigangwala
4. Charles Kimei
5. Mrisho Gambo
6. Festo Sanga
7. Tarimba Abbas
Nasisitiza huu ni Ubashiri wangu tu wa Mkeka na simaanishi kuwa ndiyo itakavyokuwa. Tuelewane vyema tu tafadhali katika hili.
Waziri Mkuu (jokes).. January Makamba
Qasim atolewe tuanze upyaWanaotoka
1. January Makamba
2. Suleiman Jaffo
3. Mwigulu Nchemba
4. Dotto Biteko
5. Dorothy Gwajima
6. Jenister Mhagama
7. Palamagamba Kabudi
Wanaoingia
1. Ridhiwani Kikwete
2. Nape Nnauye
3. Hamis Kigangwala
4. Charles Kimei
5. Mrisho Gambo
6. Festo Sanga
7. Tarimba Abbas
Nasisitiza huu ni Ubashiri wangu tu wa Mkeka na simaanishi kuwa ndiyo itakavyokuwa. Tuelewane vyema tu tafadhali katika hili.
Spika hata kama atabaki hatakaa apikike chungu kimoja tena na bi mkubwa.. Itakuwa ni mwendo wa kuwindana..Wakuu heri ya mwaka mpya...
Kama tulivyo msikia Mama akisema kuwa hivi karibuni atafanya mabadiliko kwenye baraza lake la mawaziri
Je kwa mtazamo wako wakiutendaji kwa mawaziri hao
Je ni nani anafaa kubaki kwenye baraza ilo na ni nani anafaa kuondolewa kwenye baraza hilo
Aya twende kazi..
We mzima lkn?? Spika amewashiwa moto sembuse Kabudi.Huuo namba saba hagusiki
Makamba Jr na Jenister Mhagama sidhaniWanaotoka
1. January Makamba
2. Suleiman Jaffo
3. Mwigulu Nchemba
4. Dotto Biteko
5. Dorothy Gwajima
6. Jenister Mhagama
7. Palamagamba Kabudi
Wanaoingia
1. Ridhiwani Kikwete
2. Nape Nnauye
3. Hamis Kigangwala
4. Charles Kimei
5. Mrisho Gambo
6. Festo Sanga
7. Tarimba Abbas
Nasisitiza huu ni Ubashiri wangu tu wa Mkeka na simaanishi kuwa ndiyo itakavyokuwa. Tuelewane vyema tu tafadhali katika hili.