CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Kisa alikuwa CRDB??JEMBE KIMEI ASIKOSE ANA INTELECTUAL YA HALI YA JUU KATIKA MASWALA YA UCHUMI FINACIAL NA BIASHARA ANA ROHO SAFI NYEUPE HATOI USHAURI WA KINAFKI BALI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kisa alikuwa CRDB??JEMBE KIMEI ASIKOSE ANA INTELECTUAL YA HALI YA JUU KATIKA MASWALA YA UCHUMI FINACIAL NA BIASHARA ANA ROHO SAFI NYEUPE HATOI USHAURI WA KINAFKI BALI
Kwa nini?Doto aanze kuaga
Watachanguliwa timu Msoga pureWakuu heri ya mwaka mpya...
Kama tulivyo msikia Mama akisema kuwa hivi karibuni atafanya mabadiliko kwenye baraza lake la mawaziri
Je kwa mtazamo wako wakiutendaji kwa mawaziri hao
Je ni nani anafaa kubaki kwenye baraza ilo na ni nani anafaa kuondolewa kwenye baraza hilo
Aya twende kazi..
Kwa sababu ni Sukuma gangKwa nini?
Umeshageuka. Wazee wa fursa hamchelewi😅😅😅😅Nikuombe Mheshimiwa Rais kwa upande wa mawaziri na manaibu naomba usimpe Yeyote hata aliyewahi shika akatolewa na Magufuli
Fumua wote kasoro wanne tu nao ni Ummy Mwalimu, Lukuvi, Profesa Mbarawa Na Stagomena Tax
Wengine wanafiki tu wachumia tumbo Mioyo yao kigeugeu na wapo kuvizia fursa tu
Hizi ni pumba wote kasoro wanne ndio kitu gan.Nikuombe Mheshimiwa Rais kwa upande wa mawaziri na manaibu naomba usimpe Yeyote hata aliyewahi shika akatolewa na Magufuli
Fumua wote kasoro wanne tu nao ni Ummy Mwalimu, Lukuvi, Profesa Mbarawa Na Stagomena Tax
Wengine wanafiki tu wachumia tumbo Mioyo yao kigeugeu na wapo kuvizia fursa tu
Asipomtoa huyo uhuni wake (Hagaya) ndio utazidi kudhihirikaNa mtoto pendwa makamba unamweka wapi
Duuuh yaani unadiriki kumuita hivyo amiri Jeshi wa Majeshi ya ulinzi na usalama?!!!!😳😳Asipomtoa huyo uhuni wake (Hagaya) ndio utazidi kudhihirika
mkuu, kwa nn hao wanne awaache??Nikuombe Mheshimiwa Rais kwa upande wa mawaziri na manaibu naomba usimpe Yeyote hata aliyewahi shika akatolewa na Magufuli
Fumua wote kasoro wanne tu nao ni Ummy Mwalimu, Lukuvi, Profesa Mbarawa Na Stagomena Tax
Wengine wanafiki tu wachumia tumbo Mioyo yao kigeugeu na wapo kuvizia fursa tu