Baada ya kuweka koma kwenye orodha ya kwanza ya Mawaziri, Rais Samia asema atatangaza orodha mpya karibuni

Baada ya kuweka koma kwenye orodha ya kwanza ya Mawaziri, Rais Samia asema atatangaza orodha mpya karibuni

Wakuu heri ya mwaka mpya...

Kama tulivyo msikia Mama akisema kuwa hivi karibuni atafanya mabadiliko kwenye baraza lake la mawaziri
Je kwa mtazamo wako wakiutendaji kwa mawaziri hao
Je ni nani anafaa kubaki kwenye baraza ilo na ni nani anafaa kuondolewa kwenye baraza hilo

Aya twende kazi..
Watachanguliwa timu Msoga pure
 
Nikuombe Mheshimiwa Rais kwa upande wa mawaziri na manaibu naomba usimpe Yeyote hata aliyewahi shika akatolewa na Magufuli


Fumua wote kasoro wanne tu nao ni Ummy Mwalimu, Lukuvi, Profesa Mbarawa Na Stagomena Tax


Wengine wanafiki tu wachumia tumbo Mioyo yao kigeugeu na wapo kuvizia fursa tu
 
Kwa akili ya kawaida hawezi fanya hivyo hata JPM aliowakuta kina Lukuvi,Simbachawene,
 
Nikuombe Mheshimiwa Rais kwa upande wa mawaziri na manaibu naomba usimpe Yeyote hata aliyewahi shika akatolewa na Magufuli


Fumua wote kasoro wanne tu nao ni Ummy Mwalimu, Lukuvi, Profesa Mbarawa Na Stagomena Tax


Wengine wanafiki tu wachumia tumbo Mioyo yao kigeugeu na wapo kuvizia fursa tu
Umeshageuka. Wazee wa fursa hamchelewi😅😅😅😅
 
Kabudi,dotto,waitara,katambi out bashe anakuwa waziri kamili kigwangala anapewa wizara dr.samizi analamba uteuzi ndalichako anabadilishwa wizara
 
Nikuombe Mheshimiwa Rais kwa upande wa mawaziri na manaibu naomba usimpe Yeyote hata aliyewahi shika akatolewa na Magufuli


Fumua wote kasoro wanne tu nao ni Ummy Mwalimu, Lukuvi, Profesa Mbarawa Na Stagomena Tax


Wengine wanafiki tu wachumia tumbo Mioyo yao kigeugeu na wapo kuvizia fursa tu
Hizi ni pumba wote kasoro wanne ndio kitu gan.
 
Asipomtoa huyo uhuni wake (Hagaya) ndio utazidi kudhihirika
Duuuh yaani unadiriki kumuita hivyo amiri Jeshi wa Majeshi ya ulinzi na usalama?!!!!😳😳

Kweli Komredi Polepole amewaharibu......
 
Nikuombe Mheshimiwa Rais kwa upande wa mawaziri na manaibu naomba usimpe Yeyote hata aliyewahi shika akatolewa na Magufuli


Fumua wote kasoro wanne tu nao ni Ummy Mwalimu, Lukuvi, Profesa Mbarawa Na Stagomena Tax


Wengine wanafiki tu wachumia tumbo Mioyo yao kigeugeu na wapo kuvizia fursa tu
mkuu, kwa nn hao wanne awaache??
 
Back
Top Bottom