Mama piga konzi hadi mwishoRais Samia Suluhu Hassan ameeleza hayo Ikulu Dar es Salaam wakati akipokea taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya COVID-19
Amesema "Nataka niwaambie nitatoa list mpya [ya mawaziri] karibuni. Wale ninaohisi wanaweza kwenda na mimi...nitakwenda nao. Lakini wale wote ninaohisi ndoto zao ni kule, na wanafanya kazi kwa ajili ya kule, nitawapa nafasi waende wakajitayarishe vizuri huko nje."
Waganga wako bize mno jioni hii kutoka kwa wateja wao
Ni vigumu sana kuwamaliza wote!safisha sukuma gang wote
Ikimpendeza afukuze wote hadi yeye mwwnyeweWakuu heri ya mwaka mpya...
Kama tulivyo msikia Mama akisema kuwa hivi karibuni atafanya mabadiliko kwenye baraza lake la mawaziri
Je kwa mtazamo wako wakiutendaji kwa mawaziri hao
Je ni nani anafaa kubaki kwenye baraza ilo na ni nani anafaa kuondolewa kwenye baraza hilo
Aya twende kazi..
Kweli vilaza bado huwa mnawaza na kuendekeza sana udini,shame on u...!!Samia mfia dini utaona atajaza waislam wenzake tupu.
Ajaze wazenji wenzake au?Bi mkubwa safisha timu Mataga yote wanakufitini.
BashungwaDoto Biteko
Bashungwa
Waitara
Mkenda
Mkumbo
Kabudi
Salini sana ama nendeni makaburini
Kila anapotawala Muislam nchi Wakristu hueneza sana fikra za udini ktk teuzi.Huna haya kumuita Mh.Rais "mfia dini" kisa tu una uhuru wa kuandika.Hivi kuna "mfia dini"aliyewahi kumzidi JKN?.Ndiyo maana majina yenu siku zote mnayaficha.,kumba wakaanga mbuyu.Haha mkuu hi kauli yako italeta uchochezi
Wewe uko radhi kuona watu wananyimwa nyadhifa hata kama wana sifa za kiutendaji zinasotakiwa kisa tu ni wa dini moja na Rais? Mimi ni dini tofauti na Rais but your comment is absolutely none Sense.Samia mfia dini utaona atajaza waislam wenzake tupu.