Baada ya kuweka koma kwenye orodha ya kwanza ya Mawaziri, Rais Samia asema atatangaza orodha mpya karibuni

Baada ya kuweka koma kwenye orodha ya kwanza ya Mawaziri, Rais Samia asema atatangaza orodha mpya karibuni

Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza hayo Ikulu Dar es Salaam wakati akipokea taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya COVID-19

Amesema "Nataka niwaambie nitatoa list mpya [ya mawaziri] karibuni. Wale ninaohisi wanaweza kwenda na mimi...nitakwenda nao. Lakini wale wote ninaohisi ndoto zao ni kule, na wanafanya kazi kwa ajili ya kule, nitawapa nafasi waende wakajitayarishe vizuri huko nje."
Mama piga konzi hadi mwisho
Fanya utakavyo tu

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Biteko anaweza fyekwa! Japo alichagua kukaa kimya labda itamsaidia!
 
Ni wakati wa waganga wa jadi kupiga hela.

Tuchangamkie fursa hii ndugu Watanzania.

Nasema uongo ndugu zangu?
 
Asante sana mama mungu akusaidie katika hilo
Adui ni usiyemjua
Ukishamjua hakusumbui
 
Wakuu heri ya mwaka mpya...

Kama tulivyo msikia Mama akisema kuwa hivi karibuni atafanya mabadiliko kwenye baraza lake la mawaziri
Je kwa mtazamo wako wakiutendaji kwa mawaziri hao
Je ni nani anafaa kubaki kwenye baraza ilo na ni nani anafaa kuondolewa kwenye baraza hilo

Aya twende kazi..
Ikimpendeza afukuze wote hadi yeye mwwnyewe
 
Hamna anayefaa kubaki wote awatoe achague vijana toka CCM vijana
 
Back
Top Bottom