Mtu Kwao
JF-Expert Member
- Sep 2, 2019
- 394
- 720
Mmmh huyu sidhan tena na wasiwasi swahiba wake akajiunga naeWa nishati ajiandae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh huyu sidhan tena na wasiwasi swahiba wake akajiunga naeWa nishati ajiandae
Kwann mkuu mbona niwapiga kazi wazuriKatambi...waitara...mkumbo...na bashungwa wazidishe maombi yao
FactNatamani Elimu wapewe Bashiru na Polepole, wana udhaifu wao fulani, but uzalendo wao kwa nchi ni wa kupigia mfano
Waganga wako bize mno jioni hii kutoka kwa wateja waoWakuu heri ya mwaka mpya...
Kama tulivyo msikia Mama akisema kuwa hivi karibuni atafanya mabadiliko kwenye baraza lake la mawaziri
Je kwa mtazamo wako wakiutendaji kwa mawaziri hao
Je ni nani anafaa kubaki kwenye baraza ilo na ni nani anafaa kuondolewa kwenye baraza hilo
Aya twende kazi..
Doto BitekoKatambi...waitara...mkumbo...na bashungwa wazidishe maombi yao
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] afu kama uliona baada ya kauli hii makofi yalipunguaWaganga wako bize mno juoni hii kutoka kwa wateja wao
Kabudi sidhan maan yule mzee anajua kujitengenezea mazingira ya kuaminika sanaDoto Biteko
Bashungwa
Waitara
Mkenda
Mkumbo
Kabudi
Salini sana ama nendeni makaburini
Punguani mzeeBi mkubwa safisha timu Mataga yote wanakufitini.
Muulize mamako kuhusu mimi atakwambia....pumbavu.Punguani mzee
Waziri huwa haondolewi kibwege. Ni gharama kumtunza pm mstaafuMama akimtoa Majaliwa atatengeza mgogoro mkubwa sana nchini, jamaa anafaa kuwa PM
Inawezekana,maana Mimi hao watu wa serikali huwa sioni kaazi waifanyayo zaidi ya blah blah na kupiga pesa.Lakini anauwezo na ni mchapa kazi!
Kimsingi yeye ndo mwenye homa Kali Sana.Kwa maneno yake,body language ...ni dhahiri naye ana homa 2025 ,Tena ipo juu!
Tamisemi ni msegeju my Mwalimu,huyo Mchengerwa yuko Utawala bora nadhani.Huyo.mwamba wako ni Waziri was TAMISEMI ya wapi ,TALIBAN!?
Hivi si ndio alifanya Magufuli?Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza hayo Ikulu Dar es Salaam wakati akipokea taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya COVID-19
Amesema "Nataka niwaambie nitatoa list mpya [ya mawaziri] karibuni. Wale ninaohisi wanaweza kwenda na mimi...nitakwenda nao. Lakini wale wote ninaohisi ndoto zao ni kule, na wanafanya kazi kwa ajili ya kule, nitawapa nafasi waende wakajitayarishe vizuri huko nje."
Wakimla kichwa nitaichukia serikali mpaka kufa.Aisee hapa nishaanza kuchoma ubani huku nasoma visomo vya quran tukufu kwaajili ya shujaa wetu Majaliwa yasimpate haya mambo ya kikuma gang.Mama akimtoa Majaliwa atatengeza mgogoro mkubwa sana nchini, jamaa anafaa kuwa PM