Baada ya mahojiano ya Chief Odemba na Tundu Lissu leo nimeelewa kwa nini dereva yuko Ubeligiji

Sio kweli . Lisu kafungua hiyo kesi baada ya kesi ya mtumishi wa Tigo kuisha hivi majuzi tu.

Hivyo kujificha kwa dereva Ubelgiji hakuhusiani kwa namna yeyote na hii kesi.
 
Makonda ninamuonea huruma.
 
Ni kweli lakini katika uchunguzi kuna zaidi ya hayo yatahitajika kwa maana kabla ya tukio na baada ya tukio.
 
Hawajashindwa chochote na hawatokuja kushindwa na vikitu kama chadema, wao wametulia tu wanawachora wawaone mnapoishia. Hawakushindwa kuzuia maandamano watashindwa kumuhoji mbowe kweli???
Kwa hiyo wanahusika na kushambuliwa kwa risasi Tundu Lissu! Mbele ya mahakama ya kimataifa wataumbuka kuwa ndiyo watu wasiojulikana!
 
Ni kweli lakini katika uchunguzi kuna zaidi ya hayo yatahitajika kwa maana kabla ya tukio na baada ya tukio.
Upo sahihi, kwa kuwa dereva ni muhanga, kwanini anafichwa kwa nguvu kubwa, aje, hapa, kuna jambo nyuma ya pazia trust me!
Lissu ni muhanga
Dereva ni muhanga
Wanahaki ya kudai kutaka kuuwawa, lkn ajabu muhanga mmoja anamdhibiti muhanga mwingine, hivi hatujiulizi hili?
 
Waliomkosakosa nao wajinga sana

Over!
Waliomkosakosa? Risasi 16 zilipenya mwilini. Tosha kumuangusha hata tembo! Hakuna cha ujinga labda upumbavu kwa waliopanga tukio.

Anyway, Lissu leo hii ni jinamizi linalosotesha watawala. Hata JPM hakuwa na ujasiri wa kukutana na Lissu mpya face to face au kupeana mikono. Hata kutaja jina lake tu.
 
kwani tundu lisu ni baba yako?
 
Nakuhakikishia akikanyaga hapa Tanzania lazima atapotezwa na wasiojulikana na hivyo kupoteza ushahidi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…