Baada ya mahojiano ya Chief Odemba na Tundu Lissu leo nimeelewa kwa nini dereva yuko Ubeligiji


Nakuhakikishia akikanyaga hapa Tanzania lazima atapotezwa na wasiojulikana na hivyo kupoteza ushahidi!
Tafakari dereva anaushahidi gani?, labda ushahidi wa mambo ya bosi wake? (Lichukue tukio jipe wewe binafsi utapata jawabu)
 
Waliomkosakosa nao wajinga sana

Over!
Unajitambua wewe? Siku hao unaowalaumu kwa kukosa shabaha wakulenge wewe au mwanao urudi hapa kushangilia ujinga wa wanasiasa wendawazimu!
Mna polisi, mahakama na majaji mnaowateua wenyewe na magereza pia. Mlishindwa nini kufuata utaratibu wa kumshitaki na kumfungia?
Mungu amekuleta ubaoni Leo huenda anataka kukutumia wewe ukammalize Kama ulivyomfanyia yule nduguyo! Nonsense!
 
Yaani serikali itake kukua tundu lissu imkose?!!!!!!! Mnaumwa nyie, chunguzaneni vizuri chamani kwenu huko mnakobinywa na mwenye kigoda chake Huku nje mkijifanya kuchelewa ilhali ndani ya nafsi hampendi.
Jaribu kuishirikisha akili yako vyema kabla uandike huu upuuzi wako hapa! Kama kwenye chama Chao Kuna muuaji kwanini basi polisi isichunguze na kuwabaini? Au nao wapo juu ya Sheria? Unaichafua polisi kimtindo siyo? Yaani muuaji awe cdm halafu hao policcm wamwache tu badala ya kuchukua ujiko ili wapande vyeo! Na zile cctv camera kwenye nyumba aliyokuwa akiishi kalemani zilinyofolewa na cdm?
 
Tafakari dereva anaushahidi gani?, labda ushahidi wa mambo ya bosi wake? (Lichukue tukio jipe wewe binafsi utapata jawabu)
Ongeza fikra, kama unaweza na kama uko honest.

Katika mazingira ya sasa, julize: dereva akiwasili Tanzania, akaripoti kituo cha polisi kisha kupotea kabisa kama kina Soka, taarifa na HITIMISHO la polisi litakuwaje?
 
Aliyewahi eneo la tukio alikuwa ni nani?
Aliyewahi kutoa taarifa ITV ni nani?
Nani aliyetoa kamera za usalama [mahali ambapo polisi wapo muda wote]?

Nani alichunguzwa baada ya Lissu kutoa taarifa kuna gari imekuwa ikimfuatilia majuma mawili mfululizo[alitoa rangi , aina na namba ya gari husika] polisi gani alichukulia uzito kuchunguza?

Kwanini Makonda anahusishwa sana na tukio hili?

Je serikali iliwahi kutoa maelezo yoyote juu ya ile barua ya Makonda na mkewe kuzuiwa kuingia marekani kwa kunyima watu haki ya kuishi?
 
Ongeza fikra, kama unaweza na kama uko honest.

Katika mazingira ya sasa, julize: dereva akiwasili Tanzania, akaripoti kituo cha polisi kisha kupotea kabisa kama kina Soka, taarifa na HITIMISHO la polisi litakuwaje?
Binafsi sio tatizo kwa dereva kabisa, naye ni muhanga kama lissu, walitaka kuuwawa, aidha labda dereva awe alikuwa informer kueleza bandits wapo wapi kwa muda fulani.
 
Binafsi sio tatizo kwa dereva kabisa, naye ni muhanga kama lissu, walitaka kuuwawa, aidha labda dereva awe alikuwa informer kueleza bandits wapo wabi kwa muda fulani.
Kwa fikra zako, polisi wako zero kabisa katika kufahamu tukio hili hadi hapo dereva wa Tundu Lissu atakapokuja Tanzania na kuwaeleza kilichotokea na "hao aliokuwa akiwasiliana nao"?

Halafu polisi hawajaweza kabisa kutumia utaratibu wa Interpol kuwasiliana na dereva kumhoji tangu alipokuwa Kenya na sasa Belgium, kama alivyouelezea Lissu? Yaani, kwa mawazo yako, LAZIMA dereva arudi Tanzania ili wamhoji kwenye vituo vyao vya polisi, sio?
 

Bila kusahau yule kibopa alitekwa akawaona watekaji lakini hadi leo kimyaaa!
 

Bila kusahau yule kibopa alitekwa akawaona watekaji lakini hadi leo kimyaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ