Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hiyo ni kihama kwa masaliaJana mama kasema tukutane j4
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni kihama kwa masaliaJana mama kasema tukutane j4
Salam zimefika kwa walengwaView attachment 1741713
AUAE KWA UPANGA, ATAKUFA KWA UPANGA!
"Kila auae kwa upanga, naye ataangamia kwa upanga" (Mathayo 26:52)! Hayo ndiyo maneno ambayo Yesu alimwambia Mtume Petro usiku wa Alhamisi Kuu. Hiyo ni kanuni ya kiroho! Upanga katika Biblia ni ishara ya mamlaka. Mtu ye yote aliyekabidhiwa mamlaka hatakiwi kuitumia mamlaka yake vibaya kwa kutesa, kufedhehesha, kunyanyasa, kuharibu, kunyamazisha, kupora, na hata kuua wengine. Akifanya hivyo, na yeye atakuja kufanyiwa hivyo hivyo na mamlaka nyingine iwe ya kidunia au ya Mungu moja kwa moja! Ninawatakia tafakuri njema ya Ijumaa Kuu.
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki
Katazame kwanza cheti chako cha kuzaliwaMbona kwangu iko vile vile vimepanda, au mm sio mtanzania.?
Alikuwa anatuona kama ng'ombeYaani kwake mnyonge alikuwa anatumika kama kitendea maovu
Nikajua TSH.500 kwa 500MB KIMERUDI TENA..SEMA AFADHALI KDGAirtel *148*60# ingiaaa namba 3 un offer ipo kama kawaida
Hapana mi10 kabisaaaMama tumpe mitano tena
Nmezaliwa Chatto jamani mm mnyongeKatazame kwanza cheti chako cha kuzaliwa
Bibi yangu huwa ananunua data kwa simu yangu ya kitochi then anaweka kwenye SmartPhone yakeWewe una simu ya Kitochi. Haya mambo hayakuhusu plz
Wana chato wengi wao walikuwa wilaya ya Biharamulo na kwa asili ya Biharamulo wakaazi wake wengi asili yao ni BurundiNmezaliwa Chatto jamani mm mnyonge
Bc mm n mgogo wa DodomaWana chato wengi wao walikuwa wilaya ya Biharamulo na kwa asili ya Biharamulo wakaazi wake wengi asili yao ni Burundi
MATAGA msijafanye kukenua huku akili zenu zote ni kutaka kumkwamisha mama Samia