Naona tume ya uchaguzi iko inatisha watu wanaoweka matokeo yaliyokwisha kupatikana eti ni fake na wanavunja sheria ya mtandao. Pamoja na kwamba wanaatach forms halali zilizosainiwa vituoni.
Je, hakuna uwezekano wa kuwatrack hawa walio hack JF na kuwafikisha mbele ya sheria!? Najua wamesababishahasara kubwa kwa jf na watumiaji!
Bado hali sii shwari. Basically no access to posts. Gofya 'New posts' utaambiwa hazipo mpya. Bofya ya zamani utaambiwa hadhi haikuruhusu!