Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana,Kwa iyo post za zamani zimepotea?
Tulikuwa tumejitahidi kuweka layers za usalama; kawaida huwa attacks zinaenda hadi layer 4 lakini hii ilifika 7.Boresheni security
Kama nilivyosema awali, kila kitu kipi kama awali na hivyo hakuna kilichopoteaPost zote za zamani zote zimefutika ama?
Tunashukuru hata kwa dhamira ya kutuwezeshaMelo kesho nitakutumia Laki moja
Hatutalipa baya kwa baya. Tutalipa wema kwa ubayaPoleni sana ila na nyinyi wapigeni kidogo na wao wakome, wana kamtandao kao kale...
Wachina ma wahindi wametuchezea leo
Hizi ni bugs za kawaida, tunaomba endeleeni kutufahamisha ziwekwe sawa kwakuwa zinarekebishikaBado hali sii shwari. Basically no access to posts. Gofya 'New posts' utaambiwa hazipo mpya. Bofya ya zamani utaambiwa hadhi haikuruhusu!