Baada ya muhula huu, Rais Samia Suluhu Hassan anaweza kuchaguliwa kushika kiti hicho mara moja

Baada ya muhula huu, Rais Samia Suluhu Hassan anaweza kuchaguliwa kushika kiti hicho mara moja

Magufuli alipokuja madarakani 2015 alidai kufika 2020 vyama kama Chadema vitakuwa vimekufa sasa leo Magufuli ndio amekufa na hivyo vyama ndivyo vinamzika 26/03/2021.

Mnaporopoka humu kumbukeni msiwe mbali na akili zenu haujui kesho utakuwa wapi.

Chama kikishabaki na operations za kwenye social media, for all intents and purposes, hicho ni defunct entity!
 
Katiba haina vifungu bali ibara, kwa sasa ana miaka almost miaka minne na anaweza miaka mitano ikiwa atapata ridhaa ya chama. Hoja ilikuwa ndogo sana, kutumia mitano tena kana kwamba kwa sasa ana kipindi cha miaka mitano.

Mkuu, wewe hujasoma rules za rounding kwenye Hisabati?

Urais wake wa kurithi utadumu kwa miaka 4 na miezi almost 8. Mtu anayetumia rules za rounding hawezi kusema miaka mitano?
 
Chama kikishabaki na operations za kwenye social media, for all intents and purposes, hicho ni defunct entity!
Je kile kinachobebwa na tume na polisi na kuhujumu uchaguzi chenyewe unakiweka kundi gani.
 
Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 na marekebisho yake yote, baada ya mhula huu mfupi wa urais wake wa kurithi kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 37(5), Rais Samia Suluhu Hassan anaweza kuchaguliwa tena kwa mhula mwingine mmoja. Ibara ya 40(4) ambayo ndiyo inahusika inasema hivi:

Endapo Makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37(5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama akishika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara moja tu.

Obviously, kulikuwa na sloppiness katika uandishi wa Ibara ya 40(4). Limit ni ya kuchaguliwa sio kugombea. Kama hujachguliwa unaweza kugombea hata mara tano kama alivyofanya Hayati Maalim Seif kule Zanzibar. Ukiisoma ibara hii sanjari na ibara ya 40(1), utabaini kwamba walichokusudia kuweka katika ibara ya 40(4) ni ukomo wa kuchaguliwa na sio ukomo wa kugombea kama waandishi wa Katiba walivyoandika!

Kwa kuwa mhula huu mfupi unazidi miaka mitatu, Rais Samia Suluhu Hassan anaweza kugombea na kuchaguliwa tena kushika kiti hicho mara moja tu, baada ya mhula huu.

Tofauti na ilivyozoeleka, kwa uchaguzi wa 2025, Lissu na wafuasi wake (na Kambi ya Upinzani kwa ujumla) wajiandae kukimbizwa mchakamchaka na mwanamama (iwapo ataamua kugombea).
Nimepapenda mahala nilipo-bold.
 
Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 na marekebisho yake yote, baada ya mhula huu mfupi wa urais wake wa kurithi kwa mujibu wa masharti ya Ibara ya 37(5), Rais Samia Suluhu Hassan anaweza kuchaguliwa tena kwa mhula mwingine mmoja. Ibara ya 40(4) ambayo ndiyo inahusika inasema hivi:

Endapo Makamu wa Rais anashika kiti cha Rais kwa mujibu wa masharti ya ibara ya 37(5) kwa kipindi kinachopungua miaka mitatu ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara mbili, lakini kama akishika kiti cha Rais kwa muda wa miaka mitatu au zaidi ataruhusiwa kugombea nafasi ya Rais mara moja tu.

Obviously, kulikuwa na sloppiness katika uandishi wa Ibara ya 40(4). Limit ni ya kuchaguliwa sio kugombea. Kama hujachguliwa unaweza kugombea hata mara tano kama alivyofanya Hayati Maalim Seif kule Zanzibar. Ukiisoma ibara hii sanjari na ibara ya 40(1), utabaini kwamba walichokusudia kuweka katika ibara ya 40(4) ni ukomo wa kuchaguliwa na sio ukomo wa kugombea kama waandishi wa Katiba walivyoandika!

Kwa kuwa mhula huu mfupi unazidi miaka mitatu, Rais Samia Suluhu Hassan anaweza kugombea na kuchaguliwa tena kushika kiti hicho mara moja tu, baada ya mhula huu.

Tofauti na ilivyozoeleka, kwa uchaguzi wa 2025, Lissu na wafuasi wake (na Kambi ya Upinzani kwa ujumla) wajiandae kukimbizwa mchakamchaka na mwanamama (iwapo ataamua kugombea).
Nimepapenda mahala nilipo-bold.
 
Mkuu, wewe hujasoma rules za rounding kwenye Hisabati?

Urais wake wa kurithi utadumu kwa miaka 4 na miezi almost 8. Mtu anayetumia rules za rounding hawezi kusema miaka mitano?
Hizo haziapply huku, zitumie huko huko ulikozisoma.
 
Je kile kinachobebwa na tume na polisi na kuhujumu uchaguzi chenyewe unakiweka kundi gani.
Ujinga wenu uko hapo tu kuwa ccm inabebwa na tume,polisi,kuhujumu uchaguzi etc sasa kama mnalijua hilo mmechukua hatua gani?

Mnalalamika kwenye mitandao badala ya kujitokeza hadharani na kwa uhalisia jf ndiyo itabadilisha hali hiyo?

Polisi na tume mnawaona na kuishi nao na wengine ni ndugu zenu mnafeli wapi kuwakabili?
 
Ujinga wenu uko hapo tu kuwa ccm inabebwa na tume,polisi,kuhujumu uchaguzi etc sasa kama mnalijua hilo mmechukua hatua gani?

Mnalalamika kwenye mitandao badala ya kujitokeza hadharani na kwa uhalisia jf ndiyo itabadilisha hali hiyo?

Polisi na tume mnawaona na kuishi nao na wengine ni ndugu zenu mnafeli wapi kuwakabili?
Wewe kwa akili zako unataka watu wafanye nini.
 
Hatuwezi kuzungumzia unsubstantiated claims. Claims za aina hiyo hata Trump na wafuasi wake hazikuweza kuwabeba!
Trump alipewa fursa ya kuthibitisha alivyoibiwa lakini alishindwa hapa kwenye udikteta fursa kama hiyo utaipata wapi unaweza ukaletewa wasiojulikana wakumalize kabisa.
 
Mkuu, wewe hujasoma rules za rounding kwenye Hisabati?

Urais wake wa kurithi utadumu kwa miaka 4 na miezi almost 8. Mtu anayetumia rules za rounding hawezi kusema miaka mitano?
Mkuu unamaanisha nini unaposema rules za rounding kwenye hisabati?
I thought 8 months ni zaidi ya nusu mwaka - mtu akisema miezi minane ni almost mwaka utakuwa umekosea nini, labda tuanzie hapo.
 
Binadamu anapaswa kupanga mambo yake kama vile atakuwepo for the foreseeable future. Hayo ya kutwaliwa yako kwenye mamlaka nyingine, isiyoshirikisha mtu yeyote!
Ni kweli, lakini enzi za Lowasa maneno yalitamkwa utadhani watamkaji ndo wana mamlaka uliyoyasema
 
Mkuu unamaanisha nini unaposema rules za rounding kwenye hisabati?
I thought 8 months ni zaidi ya nusu mwaka - mtu akisema miezi minane ni almost mwaka utakuwa umekosea nini, labda tuanzie hapo.

Kuna mtu mmoja anafanya rounding ya miaka 4 na miezi 8 kuwa miaka miaka 4. Huyo ndiye nilikuwa namuuliza kama hakujifunza rounding rules kwenye Hisabati!
 
Kuna mtu mmoja anafanya rounding ya miaka 4 na miezi 8 kuwa miaka miaka 4. Huyo ndiye nilikuwa namuuliza kama hakujifunza rounding rules kwenye Hisabati!
Wewe nadhani ni mgumu kuelewa, naona unahubiri hisabati kila comment wakati unaonekana ni mtupu sana, niliyokuwa namjibu nilimwambia huwezi sema Mama Samia ana miaka mitano, wakati kuna miezi kama 5 ishapita katika term hii ya pili.
Sasa ndio naona unahubiri kila mahali, term haikuanzia January bali mwezi wa 10. Uwe unajifunza kwanza siyo kutanguliza mdomo.
 
Back
Top Bottom