peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Atatoa wapi wanachama.kule kwake huwa wakizidi sana ni lako tanoWakizidi kumzingua asajili chama chake tuone sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atatoa wapi wanachama.kule kwake huwa wakizidi sana ni lako tanoWakizidi kumzingua asajili chama chake tuone sasa
Watu wapo tu kila mahali hasa wa kupenda vitu vipya hawakosekani popoteAtatoa wapi wanachama.kule kwake huwa wakizidi sana ni lako tano
Kuna yule RC wa kule kilimanjaro wakiungana watawezaWatu wapo tu kila mahali hasa wa kupenda vitu vipya hawakosekani popote
Maccm mnakurupuka hamjui tunakatiba? huwez kuongelea vitu vilivyonje takatibaRais Samia,18/04/2021 aliweka wazi kuwa yeye ni rais wa awamu ya sita. Lakini kuna wahafidhina na walafi wa madaraka mule ccm wanalazimisha kuwa mama anahudumu ilani na karithi uongozi wa awamu ya 5...
CCM sio ya kispot spot. Ni amri jeshi. HawatamuwezaWakizidi kumzingua asajili chama chake tuone sasa
[emoji3][emoji3][emoji3]CCM sio ya kispot spot. Ni amri jeshi. Hawatamuweza
Katiba yenyewe ya mwaka 1977, kuwa mbunge ujue kusoma na kuandikaTusome katiba!
Sasa Uzanzibari unaingiaje kwenye hiyo hoja?Ndivyo wazanzibar mnavyotumwanga na majini..
Wewe ni wale mnaoishi na kula kwà wajomba zenuKatiba inamruhusu kukaa madarakani kwa muda wa miaka tisa at most.
Muhimu tunaishi.Wewe ni wale mnaoishi na kula kwà wajomba zenu
HeheheheMuhimu tunaishi.
Sie watz tuna imani na maza, Atake asitake tutamuongeza.Kwahiyo?
Ndugai naye anasemaje kuhusu hiyo kauli yako?Sie watz tuna imani na maza, Atake asitake tutamuongeza.
Hayo mambo ya tafsiri ya awamu sasaivi watu wanauchunatu.Rais Samia,18/04/2021 aliweka wazi kuwa yeye ni rais wa awamu ya sita. Lakini kuna wahafidhina na walafi wa madaraka mule ccm wanalazimisha kuwa mama anahudumu ilani na karithi uongozi wa awamu ya 5...
Miaka 14 kutoka sasa. Soma ibara ya 40 (2).Katiba inamruhusu kukaa madarakani kwa muda wa miaka tisa at most.