Baada ya bomu la vijana wasiyo na ajira naona mgomo mwingine kutoka kwa kundi la vijana lililorudishwa nyumbani kutoka JKT

Baada ya bomu la vijana wasiyo na ajira naona mgomo mwingine kutoka kwa kundi la vijana lililorudishwa nyumbani kutoka JKT

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Baada ya malalamiko ya waalimu wasio na ajira kuishinikiza serikali kutatua changamoto zao sasa inaonekana kuna kundi jingine la vijana wasio na ajira linaibuka.

Ukiachana na hayo makundi mawili kuna hili kundi la vijana kutoka JKT wanarudishwa makwao for fun na wanapewa wengine nafasi kwa vimemo kila mwaka serikali inatengeneza vijana wenye mafunzo ya kujua kutumia silaha na mapigano halafu wanarudi nyumbani ili wakajiajiri siku wakijazana kwa wingi na kuamua kutumia walicho jifunza kama ajira ni bomu lenye kishindo.

Ni rahisi kuwa dhibiti wasio na mafunzo lakini hawa wa mafunzo serikali haitoweza hata ifanye nini

Soma, Pia: JKT yasitisha Mikataba ya Vijana 854 waliofanya Uasi

20250227_091751.jpg


20250227_091729.jpg
 
Suala la Ukosefu wa ajira kwa Vijana ni jambo la hatari kubwa sana kwa Usalama wa nchi yoyote ile.
Pale kundi kubwa la vijana wanapokosa matumaini ya maisha yao katika nchi huwa unakuwa ndio mwanzo wa mwisho wa mustakabali mwema kwa nchi husika. It is the beginning of the end of the country before explosion.
Vijana wanakuwa hawana Cha kupoteza hata kama nchi itaangamia.
 
Suala la Ukosefu wa ajira kwa Vijana ni jambo hatari kubwa sana kwa Usalama wa nchi yoyote ile.
Pale kundi kubwa la vijana wanapokosa matumaini ya maisha yao katika nchi huwa unakuwa ndio mwanzo wa mwisho wa mustakabali mwema kwa nchi hisika. It is the beginning of the end of the country before explosion.
Vijana wanakuwa hawana Cha kupoteza hata kama nchi itaangamia.
Ngoja tuone nini kinachofuata baada ya hawa kukamatwa maana najua kinachofuata watakamatwa na kutiwa ndani
 
Baada ya malalamiko ya waalimu wasio na ajira kuishinikiza serikali kutatua changamoto zao sasa inaonekana kuna kundi jingine la vijana wasio na ajira linaibuka.

Ukiachana na hayo makundi mawili kuna hili kundi la vijana kutoka JKT wanarudishwa makwao for fun na wanapewa wengine nafasi kwa vimemo kila mwaka serikali inatengeneza vijana wenye mafunzo ya kujua kutumia silaha na mapigano halafu wanarudi nyumbani ili wakajiajiri siku wakijazana kwa wingi na kuamua kutumia walicho jifunza kama ajira ni bomu lenye kishindo.

Ni rahisi kuwa dhibiti wasio na mafunzo lakini hawa wa mafunzo serikali haitoweza hata ifanye nini

Mama anaupiga mwingii
 
Ni swala la muda tu. Vijana wengi hawana cha kupoteza wakati huu, wamechoka na ugumu wa maisha, watawala wakishindwa kuliona hili itakula kwao, In less than 10 years from now si ajabu kuona watu wakiingia barabarani kuaddress ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira hapo huto walaumu wapinzani kama siku zote serikali inavyofanya.
 
Baada ya malalamiko ya waalimu wasio na ajira kuishinikiza serikali kutatua changamoto zao sasa inaonekana kuna kundi jingine la vijana wasio na ajira linaibuka.

Ukiachana na hayo makundi mawili kuna hili kundi la vijana kutoka JKT wanarudishwa makwao for fun na wanapewa wengine nafasi kwa vimemo kila mwaka serikali inatengeneza vijana wenye mafunzo ya kujua kutumia silaha na mapigano halafu wanarudi nyumbani ili wakajiajiri siku wakijazana kwa wingi na kuamua kutumia walicho jifunza kama ajira ni bomu lenye kishindo.

Ni rahisi kuwa dhibiti wasio na mafunzo lakini hawa wa mafunzo serikali haitoweza hata ifanye nini

Kumekucha
 
Baada ya malalamiko ya waalimu wasio na ajira kuishinikiza serikali kutatua changamoto zao sasa inaonekana kuna kundi jingine la vijana wasio na ajira linaibuka.

Ukiachana na hayo makundi mawili kuna hili kundi la vijana kutoka JKT wanarudishwa makwao for fun na wanapewa wengine nafasi kwa vimemo kila mwaka serikali inatengeneza vijana wenye mafunzo ya kujua kutumia silaha na mapigano halafu wanarudi nyumbani ili wakajiajiri siku wakijazana kwa wingi na kuamua kutumia walicho jifunza kama ajira ni bomu lenye kishindo.

Ni rahisi kuwa dhibiti wasio na mafunzo lakini hawa wa mafunzo serikali haitoweza hata ifanye nini

Tena hao wana acb za silaha. Wakiwezeshwa wakaahidiwa maisha bora na fedha ni rahisi kujiunga na makundi hatari.
 
Ni swala la muda tu, huu sasa ni mwanzo tu bado kizazi cha elfu 2.
 
😃😃😃

Hao madogo wameonesha na location ambapo watakuwa siku ya mkutano wao na waandishi wa habari.Polisi wataenda hapo Arusha kuwakamata.

Nawashauri waandae location nyingine chini kwa chini ambayo polisi hawataijua ili siku ikifika ya kuongea na waandishi wa habari waongee na iwe ni surprise kwa polisi,vyombo vya dola na viongozi.
 
Naona kabisa hii ni trend tu ya mtandaoni. Ngoja tuone.
Malengo ya chama Cha ma jobless pro max, ili kuwa ni kuja na mikakati bora ya kumkwamua kijana.

Kwa kutumia umoja wetu project kadhaa zinge anzishwa, na hii Inge pelekea kufanya kitu Kama fund raising kutoka kwa wadau.

Kuweza kupata ushauri kwa watu wenye uzoefu ni namna gani ya kupata hizo ajira, kwa njia safi bila kuonekana ni tishio

Mgeni wa Jiji aje naye aseme kitu
 
Naona kabisa hii ni trend tu ya mtandaoni. Ngoja tuone.
Hata Rais Ruto mwanzoni alikuwa anajifariji kama wewe au ma-ccm kuhusu generation-Z ila baadaye alikuja kuunguzwa na moto huo huo wa Gen-Z.
 
Hata Rais Ruto mwanzoni alikuwa anajifariji kama wewe au ma-ccm kuhusu generation-Z ila baadaye alikuja kuunguzwa na moto huo huo wa Gen-Z.
wale wali kuwa Wana pata hadi support kutoka hadi kwa viongozi wakubwa, Kuna kiongozi gani kawasikiliza hao?
 
Back
Top Bottom