jooohs
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 2,524
- 10,287
- Thread starter
- #1,121
Kwenye hicho kipengele cha kuandika ubakaji nimekiri hapo juu kuwa nilienda chaka maana kuna mdau alikuwa ameshaniuliza nikamjibu
Kuna watu kazi yao tu nikukosoa anaweza acha kazi zake zote akaanza kufukua nyuzi zote ulizoandika na comments moja moja ili tu akuprove wrong.
Ukiangalia hicho kipengele kuanzia mwaka wa tukio, gereza alilofungwa, miaka ,mahusiano vyote viko sawa
Lakini angalia watu walivyo na roho za husda wameacha vyote wanakomalia tu ubakaji , kwenye uandishi kunakuteleza kila mtu tukianza kumfanyia upekuzi kwenye nyuzi zake zote na comments tutakuta correlation ni sifuri
Hakuna mkamilifu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu kazi yao tu nikukosoa anaweza acha kazi zake zote akaanza kufukua nyuzi zote ulizoandika na comments moja moja ili tu akuprove wrong.
Ukiangalia hicho kipengele kuanzia mwaka wa tukio, gereza alilofungwa, miaka ,mahusiano vyote viko sawa
Lakini angalia watu walivyo na roho za husda wameacha vyote wanakomalia tu ubakaji , kwenye uandishi kunakuteleza kila mtu tukianza kumfanyia upekuzi kwenye nyuzi zake zote na comments tutakuta correlation ni sifuri
Hakuna mkamilifu
Sent using Jamii Forums mobile app