Samia atamaliza muda wake 2025- 2030. Ila ili tuweze kupata Katiba Bora kabisa inayowabana vizuri wanasiasa na kuifanya waiheshimu ni muhimu upinzani sasa ukaongozwa na Tundu Antipass Lissu. Nguli wa Sheria ambaye hajawahi tokeo before hapa Tanzania.