Baada ya Ole Nasha kufariki ni wakati wa Mkataba wa bandari ya Bagamoyo kuwa wazi

Baada ya Ole Nasha kufariki ni wakati wa Mkataba wa bandari ya Bagamoyo kuwa wazi

Bandari ya Bagamoyo haina maslahi kwa Taifa. Ni shinikizo la Uchina. Ni mtindo wa ukoloni mamboleo wa Uchina. Tupanue Bandari zetu 3. DSM, Mtwara na Tanga.
Bandari ya Bagamoyo haina Maslahi kwa Taifa.
Wakoloni hawakua na Akili hata Mwalimu hakua na Akili kuendeleza Bandari ya Bagamoyo Ila wewe ndio mwenye Akili nyingi?!!..Tuendeleze Bandari hii ya Kimkakati kukuza Uchumi!!
 
Huu ni mjadala wa kitaifa. Tujadili kwa hoja. Tuache mipasho. Mradi wa kitaifa likienda mrama, tumaumia kama Taifa. Haimchagui mtu.
Mbona miradi mingi imeenda mrama na hukuongea!!... Bandari ya Bagamoyo mnaleta Siasa?!!..Huona Faida ya Bandari hata baada ya miaka 50 ijayo?!!
 
Kama unaunga mkono mradi wa Bandari, jieleze, acha vipasho vidogo vidogo vinginevyo, ukalale.
Mmepewa changamoto za Ujenzi ambazo hazipo!!...Mmeambia Uwekezaji 99 years?!!..Hamjui Arthi yetu ni Mali ya Raisi?!!..mmeambiwa Bandari ya Kimkakati!!...Hujui maana ya Kimkakati?!!..Nimekupeleka Emirates ujifunze kidogo lakini wapi?!!..Unajua kila kitu!!!..
 
Tuache ujinga wa kuwa na dhana mbaya na kubeza kila linalofanywa na utawala uliopo na kutaka kuaminisha watu tena kwa nguvu kwamba eti ni Magufuli tu ndiye aliyekuwa na nia njema na nchi hii na kwamba wengine wote ni wapigaji tu,huko ni kumkufuru na kumkosea mwenyezi Mungu kwani mwenyezi Mungu kama aliweza kumuumba huyo Magufuli atashindwaje kuumba wengine kama yeye?
Binafsi naamini utendaji kazi wa Rais Samia ni wa makini na ni wenye lengo la kuleta manufaa kwa taifa na wananchi wake kwa ujumla hivyo sikubaliani na upuuzi wowote unaeletwa na mtu yeyote kwa sababu ya chuki zake binafsi.
Najua hivi sasa kuna vita kubwa inayoendelea baina ya makundi fulani fulani kwa sababu ya utashi wao binafsi tu na wengine wamekuwa wakipinga utawala wa Rais Samia lakini huwezi kuwasikia wakizisema wazi sababu zao(halisi) bali wao wamebaki tu kujificha kwenye box la "uzalendo".
Watu hawa ndio wamekuwa vinara wa kuzua uongo kila kukicha ili tu watimize kile wanachokusudia,
Watu hawa ni sawa na chui waliojivika ngozi ya kondoo,
Watu hawa ukiwatizama usoni wanajionesha tofauti na walichokificha ndani ya mioyo yao.
Hawa watu ni wanafiki na ni wabinafsi na ni watu hatari sana.
Hakuna kitu kibaya sana kama imani. Unaweza kutembea uchi barabarani kwasababu ya imani. Kibwetere aliua wafuasi wake kwa kuwachoma moto kwasabbu ya imani.

Jitahidi sana kucontrol imani yako ili akili yako isigande kwenye kuamini kitu kimoja na badala yake ifunguke na kuona uhalisia wa mambo mengine.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
P, Mradi wa treni umuhimu wake kila mtu anajua na tumekuwa makini sana na kutumia pesa zetu. Bandari ni tatizo. Kwanini tusikuze bandari ya Tanga wakati tayari kuna mafuta pale au Tanga nayo imejaa!!. Tanga sio mbali sana kama kweli hii bandari ni strategic ingekuwa Tanga na sio Dar. Lakini ukweli ni kwamba hii bandari haitakuwa chini ya bandari zetu sisi ni wadau tu na hii mimi sikubaliani nayo. Mimi sikubaliani na Tanzania kutoa bandari kama kwa nchi nyingine. Uendeshaji wa bandari sitashauri apewe nchi tena tujue China kampuni haziko huru zinaendeshwa kisiasa. China kwa wenyewe hii sio bandari ambayo wanategemea faida bali ni kuweka supply chain yao vizuri tu. Treni , ndege na mradi wa stigler ni wetu huu mradi hautakuwa wetu. Na ndiyo maana ni muhimu kuweka mkataba wazi. Je kuna siri gani kubwa za kuficha zaidi ya umiliki na kwanini wafiche. P mimi nashughulikia mikataba kazini najua kampuni zinavyojua kuiba.

Haya maswali sio kwa P pekee ni ya kujiuliza tu.

1. Na hapa ndiyo tunapishana maana mkataba hauko wazi bandari itakuwa ya nani?
2. Je $10B ni mkopo au ni wezezaji kama Mo wa Simba?
3. Je tunawamilikisha wachina uendeshaji wa bandari Je uendeshaji ukiwa mbovu tutafanyaje? tunaweza kufukuza management na kuweka nyingine kama hao CEO wengine au?
4. Vitu gani ambavyo hatutaruhusu China wafanye? mfano meli ya kijeshi ya USA itaruhusiwa kupiga nanga kwenye bandari hii kama wamekuja kufanya shughuli za kijeshi na JWTZ?
5. Wanasema wanajenga viwanda tunaomba list ya viwanda ambavyo wanavijenga na ni kiasia gani cha $10B ni viwanda? au watakuwa wanauza viwanja kwa wawekezaji wengine . Hapa tusipokuwa makini patajegwa magodown tu!
6. Kwenye matumizi na uhakiki wa ujenzi ni kampuni gani ina hakiki gharama za ujenzi? Nani anaiteua hii kampuni Tanzania au China?
7. Je ni vifaa gani vya ujenzi kama chuma, cement ..... vitatoka tanzania?

Lipo kundi au a gang of few people linataka kuingiza nchi hi kwenye matatizo makubwa...Lina maslahi binafsi na bandari ya Bagamoyo...kwa ulafi wa genge hili linawaona Watz wote ni wajinga..hili genge ni hatari kwa usalama wa nchi...limeziba masikio kabisa ...Mimi ningependa nione mwisho wa sakata hili la bandari ya Bagamoyo...kwa bahati mbaya genge hili Lina watu wazito kwa sasa...ni genge ambalo halina aibu Wala haya kwa Watz...itafika muda Kinga za viongozi kutoshughulikiwa zitakuja kuondolewa tu huko mbeleni...
 
Waziri Ole Nasha ndiye aliyekuwa waziri ambaye kapewa majukumu ya ufuatiliaji wa mkataba wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo wenye makadirio ya thamani $10B. Watanzania wengi ni lazima tujiulize huyu waziri kijana kuondoka katika mazingira haya akiwa katikati ya mkataba mkubwa hivi.

Kwa kutoa Watanzania wasiwasi na kuzingatia tajari tulisha ambiwa kuna madudu mengi sana kwenye huu mkataba. Lakini China nayo imekuwa ikisema kusuhu kuwa na base za kijeshi kwenye bandari zao ni lazima mkataba uwe wazi ili Watanzania wote tujue tunaingia kwenye mkataba wa namna gani. Wakina Samia na Kikwete hawatakuwepo pale China ikipewa bandari kwa miaka 99 na bandari kuwa kama balozi hivyo China kufanya wanalotaka.

Pamoja na mambo ambayo hatuyajui ni

1. Kuna umuhimu gani wa kuwa na bandari tatu karibu ya Tanga, Dar na hii ya Bagamoyo
2. Bandari ya Bagamoyo watarudisha vipi uwekezaji wa $10B bila kuchukuwa mizigo ya bandari ya Dar!. Je itawezekana vipi hizi bandari mbili kuongeza mizogo kwa zote!?. Na bandari ya Dar kuna mtu anafikiri watapata tena mizigo ya kutoka China?.
3 Tujue China ni kama inatawala shaba kule Zambia ndiyo mjenzi wa Tazara Je mizigo ya Zambia itaendelea kupitia bandari ya Dar au Bagamoyo?

Ukiangalia vizuri hii bandari ya bagamoyo ni mradi wa watu wachache. Hivyo viwanda wanavyosema watajenga sio viwanda ni magodauni ya kuweka mizigo huo ndiyo ukweli. Hakuna kiwanda eti kinasubiri bandari kwasababu Tanzania tuna bandari na maeneo ya ujenzi sasa hivi. Lakini kuna pesa ya mafuta na bomba linaenda Tanga ni kwanini tusikuzi pale ambapo tayari tuna uhakika wa soko kubwa na pesa? Tanga kuna umbali gani???! na hii ingefanya bandari zote bado ziwe chini ya TPA. Hii bandari ya Bagamoyo haitakuwa ya TPA tujue hilo.

Msishangae mtoto wa Kikwete kualikwa China eti kwenye mafunzo na kuacha wabunge wengine wenye uzoefu. Hii yote ni mradi wa bandari na hawa Kikwetes tuwe nao makini sana. Vilevile tusiwaamini wapinzani kwenye hili China wanauwezo wa kuhonga mpaka upinzani. Kitu kimoja tu tunaomba ni uwazi mkataba wekeni hapa na sio kutudanganya kwa mambo ya kazi. Vilevile Ole Nasha kufariki ni kitu cha kujiuliza sana maana tunasikia alianza kupinga mambo mengine.
bandari ya dar itakufa

mizigo mingi inatoka asia na china ina influence

ni mjinga, hayawani, katili, chif magunge, anayewaza hata kudhania bandari ya bagamoyo
 
Waziri Ole Nasha ndiye aliyekuwa waziri ambaye kapewa majukumu ya ufuatiliaji wa mkataba wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo wenye makadirio ya thamani $10B. Watanzania wengi ni lazima tujiulize huyu waziri kijana kuondoka katika mazingira haya akiwa katikati ya mkataba mkubwa hivi.

Kwa kutoa Watanzania wasiwasi na kuzingatia tajari tulisha ambiwa kuna madudu mengi sana kwenye huu mkataba. Lakini China nayo imekuwa ikisema kusuhu kuwa na base za kijeshi kwenye bandari zao ni lazima mkataba uwe wazi ili Watanzania wote tujue tunaingia kwenye mkataba wa namna gani. Wakina Samia na Kikwete hawatakuwepo pale China ikipewa bandari kwa miaka 99 na bandari kuwa kama balozi hivyo China kufanya wanalotaka.

Pamoja na mambo ambayo hatuyajui ni

1. Kuna umuhimu gani wa kuwa na bandari tatu karibu ya Tanga, Dar na hii ya Bagamoyo
2. Bandari ya Bagamoyo watarudisha vipi uwekezaji wa $10B bila kuchukuwa mizigo ya bandari ya Dar!. Je itawezekana vipi hizi bandari mbili kuongeza mizogo kwa zote!?. Na bandari ya Dar kuna mtu anafikiri watapata tena mizigo ya kutoka China?.
3 Tujue China ni kama inatawala shaba kule Zambia ndiyo mjenzi wa Tazara Je mizigo ya Zambia itaendelea kupitia bandari ya Dar au Bagamoyo?

Ukiangalia vizuri hii bandari ya bagamoyo ni mradi wa watu wachache. Hivyo viwanda wanavyosema watajenga sio viwanda ni magodauni ya kuweka mizigo huo ndiyo ukweli. Hakuna kiwanda eti kinasubiri bandari kwasababu Tanzania tuna bandari na maeneo ya ujenzi sasa hivi. Lakini kuna pesa ya mafuta na bomba linaenda Tanga ni kwanini tusikuzi pale ambapo tayari tuna uhakika wa soko kubwa na pesa? Tanga kuna umbali gani???! na hii ingefanya bandari zote bado ziwe chini ya TPA. Hii bandari ya Bagamoyo haitakuwa ya TPA tujue hilo.

Msishangae mtoto wa Kikwete kualikwa China eti kwenye mafunzo na kuacha wabunge wengine wenye uzoefu. Hii yote ni mradi wa bandari na hawa Kikwetes tuwe nao makini sana. Vilevile tusiwaamini wapinzani kwenye hili China wanauwezo wa kuhonga mpaka upinzani. Kitu kimoja tu tunaomba ni uwazi mkataba wekeni hapa na sio kutudanganya kwa mambo ya kazi. Vilevile Ole Nasha kufariki ni kitu cha kujiuliza sana maana tunasikia alianza kupinga mambo mengine.

Ole Nasha si mhanga wa lile gonjwa letu analolifanyia mzaha Rashid?

Tusisahau wakubwa lile gonjwa Lina ka kunyembuka nyembuka.
 
Hakuna kitu kibaya sana kama imani. Unaweza kutembea uchi barabarani kwasababu ya imani. Kibwetere aliua wafuasi wake kwa kuwachoma moto kwasabbu ya imani.

Jitahidi sana kucontrol imani yako ili akili yako isigande kwenye kuamini kitu kimoja na badala yake ifunguke na kuona uhalisia wa mambo mengine.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Wewe kiazi kweli, kwahiyo unataka nikubali tu ujinga wa mtu yeyote sio!
 
Tuache ujinga wa kuwa na dhana mbaya na kubeza kila linalofanywa na utawala uliopo na kutaka kuaminisha watu tena kwa nguvu kwamba eti ni Magufuli tu ndiye aliyekuwa na nia njema na nchi hii na kwamba wengine wote ni wapigaji tu,huko ni kumkufuru na kumkosea mwenyezi Mungu kwani mwenyezi Mungu kama aliweza kumuumba huyo Magufuli atashindwaje kuumba wengine kama yeye?
Binafsi naamini utendaji kazi wa Rais Samia ni wa makini na ni wenye lengo la kuleta manufaa kwa taifa na wananchi wake kwa ujumla hivyo sikubaliani na upuuzi wowote unaeletwa na mtu yeyote kwa sababu ya chuki zake binafsi.
Najua hivi sasa kuna vita kubwa inayoendelea baina ya makundi fulani fulani kwa sababu ya utashi wao binafsi tu na wengine wamekuwa wakipinga utawala wa Rais Samia lakini huwezi kuwasikia wakizisema wazi sababu zao(halisi) bali wao wamebaki tu kujificha kwenye box la "uzalendo".
Watu hawa ndio wamekuwa vinara wa kuzua uongo kila kukicha ili tu watimize kile wanachokusudia,
Watu hawa ni sawa na chui waliojivika ngozi ya kondoo,
Watu hawa ukiwatizama usoni wanajionesha tofauti na walichokificha ndani ya mioyo yao.
Hawa watu ni wanafiki na ni wabinafsi na ni watu hatari sana.
Wewe level ya uelewa wako ni duni mno

Unachoongea na kilichoulizwa ni vitu viwili tofauti kabisa, unatoa vijikashifa vya kipumbavu kama ulivyo wewe
 
Back
Top Bottom