Baada ya suala la Ngorongoro, Tundu Lissu ameenda Belgium & USA

Kawaida tu kama ambavyo mama abdul naye kila baada ya muda huenda dubai kupelekea report wajomba
 
Wewe familia Yako iko Rujewa umeshindwa kuikomboa 😄😄🔥🐼🐼
Sina Nchi ya kukimbilia Mimi nalima mpunga huko Lisu akivuruga mambo nitaenda wapi? Kumbuka Mimi napinga ushoga ila Lisu anaunga mkono.

Au wewe unako Kwa kukimbilia?umeshahamisha familia?
 
TL NI MPUUZI SANA, LENGO LAKE LA KWENDA KULIA LIA LIMETIMIA, HASA BAADA YA KUKAA NDANI KWA MASAA, KWAKE NI FURSA, TAYARI.
TUMPUUZE TU, YUPO KAZINI NAHISI ATAKWENDA KUPIGA KELELE KWENYE TAASISI ZA URITHI WA DUNIA, I THOUGHT SO!
 
Ulaya na Marekani Kwa sababu Lisu Yuko kinyume na sera za Russia na China
Ulitaka aende Russia na China? Mbona Samia hajaenda kuonyesha filamu ya royal tour huko Russia na China, ama naye yuko kinyume na hizo sera zao?
 
Ulitaka aende Russia na China? Mbona Samia hajaenda kuonyesha filamu ya royal tour huko Russia na China, ama naye yuko kinyume na hizo sera zao?
Wewe Wacha upumbavu,Rais amealikwa China alienda na Wachina walikuja kurekodi Filamu za vivutio Tanzania.

Huyo kibaraka wenu hatutakubali avuruge Nchi.
 
Kibaraka ni yule anakabidhi bandari zetu kwa wajomba zake kwa mkataba wa milele na ndiye wa kudhibitiwa
 
Misingi ya Tanzania ya Nyerere ni kukataa kuwa kibaraka wa Mabeberu
Kuna Vibaraka wa Mabeberu kuliko hao waliopo madarakani? Ndiyo maana nimesema ukikua utaacha, maana ndiyo utakua na akili za kumtambua kubaraka ni yupi, kwa sasa unatumia ulichoelekezwa 'kutoka juu'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…