Baada ya TPA kutangaza tenda kuhusu uwekezaji Terminal 2, Bado mnaamini Bandari zote zimeuzwa?

hapo vipi 👇👇👇👇👇

 
Anaewaamini wanasiasa bila kuwaza basi huyo anautofauti mdogo na punda.
Tangazo la TPA ndo wote tulitaka ili apatikane Mwekezani kwa njia ya ushindani. Hapa hutasikia kelele tena na evaluation itafanywa na wataalam wabobezi na kwa njia ya uwazi.
 
Djibouti waislamu 90% lakini wana kesi na DP World
 
Unafahamu maana ya MALIASILI? maliasili ni MALI ASILI. sasa niambie bandari sio MALI ASILI
 
Nina uhakika kuwa walioutoa huo waraka kwa sasa wanaona aibu baada ya tangazo la TPA la jana. Nina uhakika hujui kuwa upo msemo usemao ujanja mwingi mbele ni kiza.
Unajuaje TPA hawakwenda kuomba ruksa ya kutangaza tenda kwa mmiliki wa bandari wa sasa kama IGA inavyojieleza??
 
Mkataba wa IGA haujafutwa, lakini TPA inafanya kazi kwa kufuata waraka wa maaskofu
 
Mnafikili watz wa sasa ni wajana ,kwamba mnaweza wapindua pindua mtakavyo,
 
DP World bye bye kivipi?

Kwa ujinga wenu huo hata hamjui kusoma na kuelewa vitu ndo mana hao wanasiasa na maaskofu wanawapelekesha kama makaratasi
Sasa kama tenda zinatangazwa dp walikua na haja gani kuingia mkataba?😂😂 Jibu kwa hoja
 
Kweny mkataba Ivo vifungu vipi au havipo?
 
Kingereza tatizo, pia na uelewa wa sheria za kimataifa ni tatizo jingine kwa wengi wetu tunaopiga makelele mitandaoni.
Hao wanaotetea wagekua na uelewa mpana wa Sheria zakimataifa it was my hope kwamba tusingetumia asilimia kubwa kuservice deni linalotokana na awards wanzopewa wawekezaji ambao tumevunja nao mikataba au kusaini vitu vya hovyo na Kuja kustuka mwishoni. Au ndege zetu kukamatwa hovyo, viongozi wawe na aibu wanapoabiwa wamekosea
 
Wewe ni mmoja wa wale waliopotoshwa. Mmemuogopa DP World bila ya sababu zozote za msingi. Eneo lake ndani ya JMT ni gati namba tano mpaka namba saba, ambayo ni asilimia nane tu ya eneo lote la bandari la Tanzania.
Umesoma mkataba kweli ?
 
Uingereza walimpa bandari zao zote?

Mkataba waliosaini uingereza ni sawa na huu tuliosaini sisi wa vipengele vy kipumbavu?

Kuwa na umiliki wa meli nyingi duniani ndio uwe mlango wa kusaini mikaytaba ya kisenge?
Uingereza walimpa baadhi ya bandari zao, Antwerp wamempa pia. China yupo pia.

Vipengele vya kipumbavu kama upeo wako ukiwa mdogo lakini kama ni mwelewa huu ni bonge la mkataba, na wengi wetu tunasema kwa kukaririshwa tu kama kasuku, hatuna huo uelewa mpana wa hicho kilichoandikwa.

Meli nyingi duniani zinampa uwezo wa kutawala shorobo mbalimbali za kibiashara, zinampa uwezo wa kufikisha biidha katika nchi mbalimbali na hivyo kuondoa gharama za usafiri zinazochangia ongezeko la ugumu wa maisha.
 
Tunajifunza kutokana na makosa ya siku za nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…