Baadhi ya maoni ya Wazanzibar kuhusu ujenzi wa daraja Dar to Zanzibar

Twende kwa takwimu. Chagua mwaka wowote uupendao halafu tutajie idadi ya ZERO zilizozalishwa Bara ulinganishe na zilizozalishwa Zanzibar.
Bara inaidadi ya watu zaidi ya milion 6 0 hata zilo zikiwa milion moja bado haiwezi kuizidi Zanzibar weka takwimu zako na Mimi niweke zangu
 
Bora hata ungesema za Pemba, za Unguja ni purely derivatives za Bongo.
 

Pole sana,watanganyika ni watu wakusaka pesa popote wanazitafuta ndani ya nchi hii,acha akili za kijima zenji imechafuka kitambo baada ya waarabu kuingia hicho kisiwa.
 
Hao wanataka wawe chini ya ngozi nyeupe,,, na kikubwa kinachowazuzua ni vimisaada vya wa omani na waarabu wengine,,,, siku Itokee muungano uvunjike Zenj itarudi tena kua chini ya waarabu na hao wanaopiga kelele wataanza tena kulialia
Hawawezi kujitawala hao mkuu, hafu ni wabaguzi kidini mbona waislamu wa huku Tanganyika peace tu
 
Watanganyika waache ujinga kama wazanzibar hawataki muungano nyie mnaumia nini? Wamesema wao ndugu zao ni warabu sio nyie kwanini mnazidi kujipendekeza?
 
Kwa aina hii ya uandishi na ujengaji hoja, bila shaka hawa watu wame base sana kwenye ilmu ya mnyaazi........wakishika mkia wanaomba VAR NECTA iondoe ranking ya shule kwenye matokeo, na wakahakikisha wamemweka kobaz mwenzao hapo NECTA ili kuwafichia siri.​
 
Mashoga tanganyila ndo kwa muna mpaka maofisi na makakampuni kwa mujib wa Mwakiyembe
 
Watanganyika waache ujinga kama wazanzibar hawataki muungano nyie mnaumia nini? Wamesema wao ndugu zao ni warabu sio nyie kwanini mnazidi kujipendekeza?
Ni rahisi tu wao wawafuate ndugu zao waarabu, watuachie hivyo visiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…