Ni kweli, Mkoa wa Morogoro, Katavi, Rukwa na Ruvuma Wana Ardhi nzuri sana ya KilimoWiki iliyopita nilikuwa morogoro mvomero asee nisiseme Sana ila Tz Kwa upande wa ardhi imebarikiwa sana nitaenda huko kufuga na kulima
Hiyo safi MkuuShida ya kutoelewa unachosoma. kustaafu ni kupumzika hutafanya kazi kama ulivyokuwa mwanzoni, hutaamka na kukimbizana kama mwanzo, hutashinda kazini kama mwanzo.
Utapita kukusanya maokoto ina maana utakwenda kwenye shughuli zako ila si kwa ubize kama zamani, ni kama kusimamia na kuangalia tu kazi zinavvyoenda.
utakaa chini ya mwembe ina maana kuna wakati utapumzika hii haina maana wewe utakaa tuuuu maisha yako yote, nooo kuna vipindi vya kuburudika na kupiga umbea kwa kuwa shughuli zako ulizozianzisha zinaendelea vizuri na kukulipa huna stressss . ukistaafu sio muda wa kusimamia mijengo.... ni muda wa kupokea kinachozalishwa kwenye mijengo uliyonayo. Kutembelea wajukuu maana yake utakuwa na mitoko yako midogo midogo nje ya mkoa wako kwa raha ukasalimie kwenu au kokote utakako. THINK BIG EEEEEE
Hongereni kumtunza Mzee wenu Kwa hicho kidogo mnachomtumiaMkuu Mimi naona Kwa watu wote hata wale wasio ajiriwa!
Unatakiwa itegeshe vitega uchumi vya kudumu biashara ya kudumu ama kilimo endelevu pamoja na ufugaji. Hii itakupa uhakika wa maisha hata kama utapata faida kidogo ni vyako. Ahsantee sana Kwa Uzi huu.
Mzee wangu tulimshauri awekeze kwenye nyuki,ufugaji samaki pamoja na ng'ombe wa maziwa kamwe hakutuelewa kabisa Tena tulionekana sisi tunazitaka Hela zake!
Sasahivi anakumbuka misitu upo binde lipo Hela hamna na sisi tuna mambo yetu ya kuwekeza vilevile anapata laki ama 50k nikiwa nayo au zaidi hata400k mara Moja moja
Baadhi walikuwa wanahisi ni mbali, kumbe ni hapo tuAsante Sana nduguView attachment 3157801
Kama utani ila ndo yanayotokeaHiyo Kali Mkuu, kwahiyo pamoja na hela yako lakini hawakupi huduma??
Hii Nchi kama ulivyosema, hatuna Umoja kabisa kwenye mambo ya msingi zaidi ya kufarijiana kwenye misiba tu
hatari sana mkuu, tuendelee kutafuta mkate tu, maana watanzania kwa ujumla wetu mpaka tuamke bado sanaHatari sana Mkuu
Kuna vitu ni haki kabisa ya raia lakini tunaona ugumu kuvidai π
Hatuguswi na jambo hadi likutokee binafsi ama mtu anayekuhusu
Na hayo ndiyo maisha yetu waTZ
Ni kweli Mkuuhatari sana mkuu, tuendelee kutafuta mkate tu, maana watanzania kwa ujumla wetu mpaka tuamke bado sana
Haya ni madini mkuuNi kweli Mkuu
Tuendelee kujifunza kuwekeza mdogo mdogo wakati huo ukipata muda nenda usome vitabu vitakavyo kuhamasisha kuwekeza
Baada ya hapo, Uwekezaji unakuwa kwenye damu ya familia maana hata watoto wako utawaambukiza hizo hustle
Kila la heri MkuuSahihi kabisa
Tena ukiangalia hiyo chat ya muda na age retirement unaona muda sio RAFIKI KABISABaadhi walikuwa wanahisi ni mbali, kumbe ni hapo tu
Imagine umebakiza miaka 10 Ustaafu lakini huna hata Mradi mmoja wa kukuingizia hata 20,000 Kwa Siku π
Tuamke Wakuu, muda haupo upande wetu
Ni hakika Mkuu, kumbe waliozaliwa miaka ya 70' wamebakiza miaka 7 hadi 10 tu kabla ya kustaafuTena ukiangalia hiyo chat ya muda na age retirement unaona muda sio RAFIKI KABISA
Yaan, unaweza kuogopa ukiangalia age vs muda wa kustaafu na unaona Bado hujafanya la maanaNi hakika Mkuu, kumbe waliozaliwa miaka ya 70' wamebakiza miaka 7 hadi 10 tu kabla ya kustaafu
Lakini ukiwakuta mtaani, wako busy balaa kuzifunua sketi na Ulabu π
Kwa kweli wakati ukutaYaan, unaweza kuogopa ukiangalia age vs muda wa kustaafu na unaona Bado hujafanya la maana
Ila yule baba!! Acha alale tuππKikokotoo kipo, saivi kinasoma 33% Mkupuo halafu hiyo 67 itakuwa inatolewa kidogo kidogo Kila Mwezi π
Mungu atutangulieKila la heri Mkuu
Nategemea ukifanya Uwekezaji mapema, ukiufikia Uzee inakuwa ni swala la kupigiana simu kwaajili ya kukutana Viwanja vya Golf tukicheza na baadaye kunywa Kahawa ama Wine
Pasipo kuwa na hofu Wala stress za maisha π