Shida ya kutoelewa unachosoma. kustaafu ni kupumzika hutafanya kazi kama ulivyokuwa mwanzoni, hutaamka na kukimbizana kama mwanzo, hutashinda kazini kama mwanzo.
Utapita kukusanya maokoto ina maana utakwenda kwenye shughuli zako ila si kwa ubize kama zamani, ni kama kusimamia na kuangalia tu kazi zinavvyoenda.
utakaa chini ya mwembe ina maana kuna wakati utapumzika hii haina maana wewe utakaa tuuuu maisha yako yote, nooo kuna vipindi vya kuburudika na kupiga umbea kwa kuwa shughuli zako ulizozianzisha zinaendelea vizuri na kukulipa huna stressss . ukistaafu sio muda wa kusimamia mijengo.... ni muda wa kupokea kinachozalishwa kwenye mijengo uliyonayo. Kutembelea wajukuu maana yake utakuwa na mitoko yako midogo midogo nje ya mkoa wako kwa raha ukasalimie kwenu au kokote utakako. THINK BIG EEEEEE