fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Kun siku et linaniambie nimsaidie elfu 5 atume pesa ya vikoba anadaiwa hvhv nkamwambia lete namba 😁😁akanipa jina la kiume nikashtuka😁😁 nkamwambia ntakutmia badae, hali ilivo ngumu afu nitapeliwa na dume jenzangu hapana kwakweli bora anitapel mtot wa kike haitoniuma sanaJinga sana hili jamaaa😂,
Kusutwaa na naniii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3526][emoji3526][emoji3526]! kiranga komaa mimiii [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]kwanza nakaribia kusutwaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]!!
Hivi unajua 😂😂😂🤓🤓🤓😂😂😂Kushakuchaaa kitrambooo 😂😂!
Ni pm na hekaheka zakeeeee khakhakhaaaa.... Nacheka kama mazuri vilee!!
Oohoo, wenye Simba yao mmeshatia maguu😃Gongowazi tangu lini ukawa na elements za Mnyama?
😂😂Mtaniiii taratibuuu bas nawee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kamatraaaaa huyooooo🏃🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️😂😂😂😂!!Leo leo leo badamu batamwagika[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmi alinambia anajita Joan
Nawee uliwahi kupigwaa huko PM? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaahahaha[emoji16]
Pole mwana 😅😅Habarini za asubuhi wapendwa natumai mpo poa.
Leo naomba niseme hivi kuna baadhi ya sisi wanaume tumekuwa na tabia ya kujifanya mwanamke yaani ni mshikaji kabisa anakuja PM anajifanya mwanamke ananza kukuomba pesa na virungu vya hapa na pale. Thamani yetu wanaume ni kubwa sana tubadilike. Kwanza unanzaje kama shida ni pesa si uombe members tutakupiga tafu kuliko hiviii🤔🤔
Si mnajifanya mnashupaza shingoo ndrioo kushobokea vitobo ndio mkomeeeeee!!😂!🤣🤣🤣!!Hivi unajua 😂😂😂🤓🤓🤓😂😂😂
Mwanaume anapojifanya yee wakike.. ana anakua anajua udhaifu wake so anakomba serious 😂😂😂😂🤓🤓🤓🤓🤓 jamani weeeh daah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu miee, woiiiiiiiihKun siku et linaniambie nimsaidie elfu 5 atume pesa ya vikoba anadaiwa hvhv nkamwambia lete namba [emoji16][emoji16]akanipa jina la kiume nikashtuka[emoji16][emoji16] nkamwambia ntakutmia badae qmmke hali ilivo ngumu afu nitapeliwa na dume jenzangu hapana kwakweli bora anitapel mtot wa kike haitoniuma sana
Huyu tapeli atakua au anapenda pesa za bure kitu ambacho ni hatari kwa baadhi ya viungo vyake kama mwanaumeView attachment 2647731
Angekuwa ni mwanamke aliye bize na hizi biashara kaweka hapo,asingekuwa anashusha nyuzi humu za kipuuzi mda wote.
Mkuu ulimwengu uone hivihivi tunaishi na mapunguaniHao watakua ni wanaume walioleft group.
Mwanaume rijali hawezi fanya huo upuuzi
JF ina mamboo wallah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
alonitunia namba ila akawa apokei simu anataka tuchart tu 😅😅.. nikaona hapa sipo penyewemm aliniambia anaitwa grace daah😁😁 afu mnyamwez sikua nataka ata kujuana nae nkahisi kabsa apa sio bure maan demu hawez kuwa rahisi hv kuna namna
😁😁 sitapeliwigi kizembezembe kiasi hicho aisee mm nltaka nambaake ili nione usajili wake jina litatoka la kike au kiume nilivoona la kiume tu nkashtuka huu mchezo mchafu kama wa sisiemu mwaka 2015 nkaanza kumpga kiswahili nashangaa anansumbua kila siku sijui aliniona mm na minyege ya ovyo au nna helaNawee uliwahi kupigwaa huko PM? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😅😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣, nimeiona sasa hivi auntiee mzuri embu ngoja nisome comments,Si mnajifanya mnashupaza shingoo ndrioo kushobokea vitobo ndio mkomeeeeee!!😂!🤣🤣🤣!!
Ankoli akee YE67NBE njoo utanue mapafu hukuuii🤣
NakaziaaaaaHao watakua ni wanaume walioleft group.
Mwanaume rijali hawezi fanya huo upuuzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie nacheka km chiziii. Woiiiiiih[emoji16][emoji16] sitapeliwigi kizembezembe kiasi hicho aisee mm nltaka nambaake ili nione usajili wake jina litatoka la kike au kiume nilivoona la kiume tu nkashtuka huu mchezo mchafu kama wa sisiemu mwaka 2015 nkaanza kumpga kiswahili nashangaa anansumbua kila siku sijui aliniona mm na minyege ya ovyo au nna hela