Baadhi ya wanaume humu JF tubadilike tunashusha utu wetu na thamani yetu

Status
Not open for further replies.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiwastuee sasa nawee jomoneee.
 
Mkuu umepigwa ngapi na hilo gofu😂😂😂
Siku ya kwanza nlimtumia vocha ...... sikunyingine tena akataka nimtumie 50k nikampa sharti la kumpigia video call kwanza ....akachomoa nika vunga .... jana akaniomba tena 150k ..... ndo nka mchana nka mwambia video call hutaki na pesa sikutumii akaona nimemshtukizia ....nikimpigia simu hapokei
 
Nani huyo 🤓🤓😂😂😂😂😂😂😂🤓
Ulojaribu kupiga kwa namba nyingine
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaa!!!!!
 
😅😅😅😅 dah! Nakosa msemoo.. kweli naingizwa kingi hivi hivi hivi
 
Umevukaa viwangoo vya kuruka utapeliii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…