inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Wanaendelea utamaduni wetu wasukuma,dingi ukishazisaka ukazipata,Maza anakonsipaya na watoto wakuue,zamani wazee walikua wanahama wanaenda kuanzisha mji mwingine kwingineHii ni Afrika bhana ukiwa nazo ni kasheshe, ukizikosa ni kazeze
Ni vizuri kuwajengea msingi tangu mwanzo kutegemea kuajiriwa kuwe ni ziada tu lakini funza ujasiliamali tangu wadogo kama wafanyavyo weupe.Watoto wakianza kujielewa tu, fukuza nyumbani wakaanze kujitegemea, ukiwachelewesha sana wanaanza kutegemea Mali zako.
Ukiona Jamii inapenda Sana ngono ni lazima umasikini utamalakiWanyiramba sifa ya wanaume wanyiramba .
1.hawajali hata kama wameoa wao hupenda Malaya sana.
2.wavivu kutunza familia zao na pia hupenda kutokula miilo yenye kuleta afya
3.wanapenda kuvaa nguo nzuri Ili hali watoto hawana chakula chenye afya Wala hawana ada wapo wapo tu ila wanapenda sex balaa na video viumo vya nyiguu
Mwanza sa huu mwezi toka umeanza tukio kama sio la nne basi la tatu la mauaji.
EhhUkiona Jamii inapenda Sana ngono ni lazima umasikini utamalaki
Labda uwawezesha la sivyo yakiwashinda huko pia watarudi kukushughurikiaWatoto wakianza kujielewa tu, fukuza nyumbani wakaanze kujitegemea, ukiwachelewesha sana wanaanza kutegemea Mali zako.
Kweli na kuna zile familia za kifalme, wale nao wanauana sana yaani mtoto kumtanguliza baba kawaida sana.Sio Afrika tu mkuu.
Sema haya mambo tunayaona kama yameanza leo kwa sababu ya hii teknolojia ya habari ila ni matukio ambayo yapo miaka na miaka na sio Afrika tu, huko Duniani ni balaa.
Matukio ya watoto kuua wazazi wao kisa mali ni matukio yaa Dunia nzima sio Afrika tu.
'Lazy' Son Ruthlessly Kills Millionaire Dad For Cutting His £800 Pocket Money To £200
Sickening.www.sickchirpse.com
Dogo alimuua baba yake kisa kampungizia pocket money yake.
Hiyo ni kawaida yao, kabla mwaka haujaisha utasikia mauaji mengine. Ni vigumu sana kusikia mauaji Lindi au Mtwara kule. Huko Mwanza ni roho mbaya kila konaMwanza sa huu mwezi toka umeanza tukio kama sio la nne basi la tatu la mauaji.
Kwa hyo sie watu wa Mwanza tuna roho mbaya.Hiyo ni kawaida yao, kabla mwaka haujaisha utasikia mauaji mengine. Ni vigumu sana kusikia mauaji Lindi au Mtwara kule. Huko Mwanza ni roho mbaya kila kona
Mhhhhhhyapo mengi sana sema wanaokutangazia wanakuwa trend au umeona bila kufatilia
Hii habari ingekuwa imetokea Moshi huu uzi ungekuwa page ya 50 sasa hiviKuna uzi niliongea kichwa cha habari kwa nini mkoa wa Mwanza kuna hitman sana !. ila kama watu walipita pembeni