nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
- Thread starter
- #21
fresh tuMrudishe tumle izo siku 3 nyumbani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fresh tuMrudishe tumle izo siku 3 nyumbani
Mkoani tu? Watu wanarusha toka nje ya nchi itakua hapo mkoani! Kumrudisha tu ni msg tosha akajieleze mwenyewe. Unampigia mkwe upate nini ss? Ulitegemea jibu tofauti? Au angesema mrudishe tu? Hell no, labda kama sio mzaziMkuu nipo nae mbali mikoa miwili tofauti akipatwa na dharura njiani?
Kwanini hajakubali? hivi wazazi hawacaluculate effects za kukaidi ombi la kurudishwa?Mkoani tu? Watu wanarusha toka nje ya nchi itakua hapo mkoani! Kumrudisha tu ni msg tosha akajieleze mwenyewe. Unampigia mkwe upate nini ss? Ulitegemea jibu tofauti? Au angesema mrudishe tu? Hell no, labda kama sio mzazi
We jamaa ni boya!!!Sasa nimekuelewa. kinachoboa huyu walimpointi wazazi yaani vetting ilifanyika kule nyumbani maana nilikua nishawazila kabisa wanawake.
Sasa nimekuelewa. kinachoboa huyu walimpointi wazazi yaani vetting ilifanyika kule nyumbani maana nilikua nishawazila kabisa wanawake.
Kweli eeh?fresh tu
Mwanamke hapigwiTandika makofi
Unaelewa unachoongea. Mzee ukipigiwa pipe na majobless na asiookutii na mwa minifu kuna nafuu kwenye kumpata mwaminifu... wewe una mtii hata kidogo anachokisema ?mzee ukosefu wa utiifu huenda ikawa ni zaidi ya kucheat
ndoa ni uvumilivu,kwenye ndoa labda kama hujafunga rasmi,kuachana hakupoHivi ni kwanini? wanasema busara ni kumrudisha mtoto wa wenyewe kwa wazazi endapo unaona hakidhi vigezo ikiwemo ukosefu wa utiifu. Sasa Leo nimepiga simu mzazi kasema hapana ataongea nae kwa mara nyingine tena nimpe nafasi nyingine.
Siku za hapo nyuma mara 3 hivi nimeripoti kuhusu vitendo vya uvunjifu wa nidhamu ili aonywe na ilifanyika hivyo ila Leo simu ilikua ya tofauti kidogo nimeomba arudi akaonywe kule physically.
Hawa wanawake, kuna muda unapaswa uwe tu kama yule rais wa Ufiilipino iwapo utadakwa na madawa ya kulevya.
who is the head of family?Unaelewa unachoongea. Mzee ukipigiwa pipe na majobless na asiookutii na mwa minifu kuna nafuu kwenye kumpata mwaminifu... wewe una mtii hata kidogo anachokisema ?
kupo mkuu kuna cnario ukikomaa hakuna divorce utaishia jelandoa ni uvumilivu,kwenye ndoa labda kama hujafunga rasmi,kuachana hakupo
Hili ndilo Jibu mkuu.Wenye akili hawapigii simu wakwe, anashtuka tu mwanae yupo kwao bila taarifa
Vip ukamtoa kimya kimya akashukia njiani? unawajua vizuri watoto wa kike?Hili ndilo Jibu mkuu.
Hapo si anapiga kidogokidogo? 😀Kuna wazazi wamewachoka watoto wao. Mimi ningesema sawa baba mrudishe haraka.
Mara kadundwa katolewa meno...
wanatest mitambo sioHapo si anapiga kidogokidogo? 😀
Wanawake Kuna wakati huwa mnatujaribu muone tupo vipi kwenye maamuzi.
Sasa wewe itakuhusu nini akishuka njiani?? Huyo ni mtu mzima, huwezi kumfundisha kitu kwa demokrasia. Wewe ameshakuchosha, muondoe nyumbani kwako, wapigie tu kuwa uneshamtimua arudi kwao akajifunze, sio unaomba ridhaa ya wazazi, wao wanapewa tu taarifa kuwa mwanamke kwa sasa hayupo kwako na umemuelekeza aende kwao, afike asifike hilo halikuhusu.Vip ukamtoa kimya kimya akashukia njiani? unawajua vizuri watoto wa kike?