Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Siyo kweli, mengine tunakaa kuzungumza, ku cheat haina mjadala.mzee ukosefu wa utiifu huenda ikawa ni zaidi ya kucheat
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kweli, mengine tunakaa kuzungumza, ku cheat haina mjadala.mzee ukosefu wa utiifu huenda ikawa ni zaidi ya kucheat
Vip iwapo tabia haibadiliki, hivi unajua changamoto ya kuishi na mwenzio ambae hakusikilizi?Siyo kweli, mengine tunakaa kuzungumza, ku cheat haina mjadala.
Mkuu hainihusu vip wakati nilienda kumchukua mwenyewe? Sasa akitokea hajafika nyumbani nani atawajibishwa? yani unafikiri mzee wake akisema tunamtaka mtoto wetu kama ambavyo tumekukabidhi utasema nini mbele ya kizimba?Sasa wewe itakuhusu nini akishuka njiani?? Huyo ni mtu mzima, huwezi kumfundisha kitu kwa demokrasia. Wewe ameshakuchosha, muondoe nyumbani kwako, wapigie tu kuwa uneshamtimua arudi kwao akajifunze, sio unaomba ridhaa ya wazazi, wao wanapewa tu taarifa kuwa mwanamke kwa sasa hayupo kwako na umemuelekeza aende kwao, afike asifike hilo halikuhusu.
Sema mzee inaonekana bado unampenda mkeo, hajakutoka bado. Mwanamke asiye mtii ukishamchoka hutaumia hata ukijua jana katoka kuliwa, maana unakua huna hisia nae tena. Sasa wewe hata makofi unaogopa kumpiga, hakuna atayekufunzia adabu mkeo zaidi yako wewe mwenyewe
Na sio Mara chache. Wakitest wanataka uchukue hatua stahikiwanatest mitambo sio
Hayupo kwako tena, kwani ni mtoto wa miaka 10? Ndo maana wanawasumbua sana kwa kutokujua basics kama hizi, unamtoa huku unalia rohoni??Vip ukamtoa kimya kimya akashukia njiani? unawajua vizuri watoto wa kike?
Kosa kubwa la kumrudisha m/ke kwao ni kucheat tu hayo mengine ni rahisi sana kuya-solve ,dawa ya kiburi ni jeuri au dawa ya bishoo kuwa bishoo zaidi yake ,dawa ya moto ni moto ,badili lyf style yako naye atabadilika na kuanza kukutiii....inaonekana haumjali kwenye mahitaji yake.Hivi ni kwanini? wanasema busara ni kumrudisha mtoto wa wenyewe kwa wazazi endapo unaona hakidhi vigezo ikiwemo ukosefu wa utiifu. Sasa Leo nimepiga simu mzazi kasema hapana ataongea nae kwa mara nyingine tena nimpe nafasi nyingine.
Siku za hapo nyuma mara 3 hivi nimeripoti kuhusu vitendo vya uvunjifu wa nidhamu ili aonywe na ilifanyika hivyo ila Leo simu ilikua ya tofauti kidogo nimeomba arudi akaonywe kule physically.
Hawa wanawake, kuna muda unapaswa uwe tu kama yule rais wa Ufiilipino iwapo utadakwa na madawa ya kulevya.
Ni upumbavu huu na matumizi mabaya ya mudaNa sio Mara chache. Wakitest wanataka uchukue hatua stahiki
😁Demu unakuta bishi na jeuri kama shipa, ni makofi mengi tu kama tunaimba pambio.Kuna wazazi wamewachoka watoto wao. Mimi ningesema sawa baba mrudishe haraka.
Mara kadundwa katolewa meno...
Inaonekana we bado mvulana, anyway akili kichwani kwako, I rest my case..Mkuu hainihusu vip wakati nilienda kumchukua mwenyewe? Sasa akitokea hajafika nyumbani nani atawajibishwa? yani unafikiri mzee wake akisema tunamtaka mtoto wetu kama ambavyo tumekukabidhi utasema nini mbele ya kizimba?
we unawaza mahitaji wakati mi nahisi kuwajibika kwangu kumpa mahitaji yake yote huenda ikawa chanzo cha kuniona boyaKosa kubwa la kumrudisha m/ke kwao ni kucheat tu hayo mengine ni rahisi sana kuya-solve ,dawa ya kiburi ni jeuri au dawa ya bishoo kuwa bishoo zaidi yake ,dawa ya moto ni moto ,badili lyf style yako naye atabadilika na kuanza kukutiii....inaonekana haumjali kwenye mahitaji yake.
Inategemea unaongeaje.. kuna wanaume wanaongea na wanawake kama wake wenzaVip iwapo tabia haibadiliki, hivi unajua changamoto ya kuishi na mwenzio ambae hakusikilizi?
akiwa amefika salama siwezi umia rohoni mkuu kesi za wanawake kule kotini huchomoki hapa ndipo ilipo hofu yangu hasaHayupo kwako tena, kwani ni mtoto wa miaka 10? Ndo maana wanawasumbua sana kwa kutokujua basics kama hizi, unamtoa huku unalia rohoni??
Tàbia gani isiyobadilika? Ebu tuambie tukusaidie namna ya kubadili hiyo tabia.Vip iwapo tabia haibadiliki, hivi unajua changamoto ya kuishi na mwenzio ambae hakusikilizi?
Ulivyomtoa kwao na alivyo sasa ni vitu vitatu tofautiKwa vip?
Vip akipata physical injuries utakuja nisaidia kesi kotini?Piga paume vizuri atakuogopa na taratiiibu ataanza kukuheshimu
Kichwa cha habari ni low level of discipline? anaweza kaidi agizo papo kwa papo huku unaona.Tàbia gani isiyobadilika? Ebu tuambie tukusaidie namna ya kubadili hiyo tabia.
Ila isiwe ku cheat.
Kwani ulitegema awe sawa na awali?Ulivyomtoa kwao na alivyo sasa ni vitu vitatu tofauti
fafanua vizuri mkuuInategemea unaongeaje.. kuna wanaume wanaongea na wanawake kama wake wenza