Baba mkwe hataki nimrudishe mwanae anasema atamkanya kwa mara ya nyingine

Baba mkwe hataki nimrudishe mwanae anasema atamkanya kwa mara ya nyingine

Sasa wewe itakuhusu nini akishuka njiani?? Huyo ni mtu mzima, huwezi kumfundisha kitu kwa demokrasia. Wewe ameshakuchosha, muondoe nyumbani kwako, wapigie tu kuwa uneshamtimua arudi kwao akajifunze, sio unaomba ridhaa ya wazazi, wao wanapewa tu taarifa kuwa mwanamke kwa sasa hayupo kwako na umemuelekeza aende kwao, afike asifike hilo halikuhusu.


Sema mzee inaonekana bado unampenda mkeo, hajakutoka bado. Mwanamke asiye mtii ukishamchoka hutaumia hata ukijua jana katoka kuliwa, maana unakua huna hisia nae tena. Sasa wewe hata makofi unaogopa kumpiga, hakuna atayekufunzia adabu mkeo zaidi yako wewe mwenyewe
Mkuu hainihusu vip wakati nilienda kumchukua mwenyewe? Sasa akitokea hajafika nyumbani nani atawajibishwa? yani unafikiri mzee wake akisema tunamtaka mtoto wetu kama ambavyo tumekukabidhi utasema nini mbele ya kizimba?
 
Vip ukamtoa kimya kimya akashukia njiani? unawajua vizuri watoto wa kike?
Hayupo kwako tena, kwani ni mtoto wa miaka 10? Ndo maana wanawasumbua sana kwa kutokujua basics kama hizi, unamtoa huku unalia rohoni??
 
Hivi ni kwanini? wanasema busara ni kumrudisha mtoto wa wenyewe kwa wazazi endapo unaona hakidhi vigezo ikiwemo ukosefu wa utiifu. Sasa Leo nimepiga simu mzazi kasema hapana ataongea nae kwa mara nyingine tena nimpe nafasi nyingine.

Siku za hapo nyuma mara 3 hivi nimeripoti kuhusu vitendo vya uvunjifu wa nidhamu ili aonywe na ilifanyika hivyo ila Leo simu ilikua ya tofauti kidogo nimeomba arudi akaonywe kule physically.

Hawa wanawake, kuna muda unapaswa uwe tu kama yule rais wa Ufiilipino iwapo utadakwa na madawa ya kulevya.
Kosa kubwa la kumrudisha m/ke kwao ni kucheat tu hayo mengine ni rahisi sana kuya-solve ,dawa ya kiburi ni jeuri au dawa ya bishoo kuwa bishoo zaidi yake ,dawa ya moto ni moto ,badili lyf style yako naye atabadilika na kuanza kukutiii....inaonekana haumjali kwenye mahitaji yake.
 
Kosa kubwa la kumrudisha m/ke kwao ni kucheat tu hayo mengine ni rahisi sana kuya-solve ,dawa ya kiburi ni jeuri au dawa ya bishoo kuwa bishoo zaidi yake ,dawa ya moto ni moto ,badili lyf style yako naye atabadilika na kuanza kukutiii....inaonekana haumjali kwenye mahitaji yake.
we unawaza mahitaji wakati mi nahisi kuwajibika kwangu kumpa mahitaji yake yote huenda ikawa chanzo cha kuniona boya
 
Piga paume vizuri atakuogopa na taratiiibu ataanza kukuheshimu
 
Hayupo kwako tena, kwani ni mtoto wa miaka 10? Ndo maana wanawasumbua sana kwa kutokujua basics kama hizi, unamtoa huku unalia rohoni??
akiwa amefika salama siwezi umia rohoni mkuu kesi za wanawake kule kotini huchomoki hapa ndipo ilipo hofu yangu hasa
 
Back
Top Bottom