kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 2,000
- 3,352
Ni kweli huwa ni Kama ushamba flan hivi ila mtu analazimishwa kufanya huu ushamba....maonyo yanakuwa mengi sana hadi inashindikana kuonya kawaida.Inategemea. Kupigana ni mambo flani hivi ya kishamba. Kama kakushindwa afungashe aende