nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
- Thread starter
- #101
soma reply namba 93 mkuu.......ndoa ni kuvumiliana.....sanaa....kama hana mambo machafuuuuu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
soma reply namba 93 mkuu.......ndoa ni kuvumiliana.....sanaa....kama hana mambo machafuuuuu...
Sasa si bora ukamuadabisha akabaki😅wanasema tutumie busara katika maamuzi ila hapa namvutia tu siku chache atapanda pipa iwapo hatobadilika
Ndio maana wanakua wajinga kupindukiatoka nae out mkayajenge huenda amezoea maeneo/nyumba kila ukimwambia anaona kawaida ila ukimtoa out sehem ya starehe au shida anaweza akaingiza kitu kichwani.
hawa wanawake simu na tv zinawadanganya,mwanamke atabakia mwanamke tu.
Amenunua bidhaa na kuitumia halafu anataka amrudishie nani?Ajitulize kama kasuku.Hamna namna.Vipi huyo Mzee wake siku ya harusi alicheza sana mziki au kulewa kupitiliza?
Muda mwingine huwa wanafurahia kuutua mzigo sema hatuwazingatii tu.
kunaitwa kutengana ila hamuachanikupo mkuu kuna cnario ukikomaa hakuna divorce utaishia jela
HakikaSasa wewe itakuhusu nini akishuka njiani?? Huyo ni mtu mzima, huwezi kumfundisha kitu kwa demokrasia. Wewe ameshakuchosha, muondoe nyumbani kwako, wapigie tu kuwa uneshamtimua arudi kwao akajifunze, sio unaomba ridhaa ya wazazi, wao wanapewa tu taarifa kuwa mwanamke kwa sasa hayupo kwako na umemuelekeza aende kwao, afike asifike hilo halikuhusu.
Sema mzee inaonekana bado unampenda mkeo, hajakutoka bado. Mwanamke asiye mtii ukishamchoka hutaumia hata ukijua jana katoka kuliwa, maana unakua huna hisia nae tena. Sasa wewe hata makofi unaogopa kumpiga, hakuna atayekufunzia adabu mkeo zaidi yako wewe mwenyewe
Amesema huenda,basi tujikite hapo na tumwambie kuwa kugongewa demu inauma sana ila kugongewa mke inauma zaidi.Unaelewa unachoongea. Mzee ukipigiwa pipe na majobless na asiookutii na mwa minifu kuna nafuu kwenye kumpata mwaminifu... wewe una mtii hata kidogo anachokisema ?
ulitegema ukitoka kwa Bwana wako utakua kama mwanzo?Walikupa binti yao akiwa vizuuuri, wewe umeenda umemuharibu huko then unataka wakahangaike wao na shida zako!! Pambana.
Ndoa za utotoni.
wrong example.Amenunua bidhaa na kuitumia halafu anataka amrudishie nani?Ajitulize kama kasuku.Hamna namna.
za baba mkwe?nipe namba zake
Nipe "long" and the "light" kizampo.wrong example.
zamkeoza baba mkwe?
nimekutumia za baba mkwe pm umuombe namba za mtoto wakezamkeo
Hapana, ndio maana ana tabia ulizomfundisha wewe. Pambana nazo.ulitegema ukitoka kwa Bwana wako utakua kama mwanzo?
Acha masihara😕😕😕nataka nikusaidie halafu unaleta zarau?☹️☹️☹️nimekutumia za baba mkwe pm umuombe namba za mtoto wake
Ok, umeeleweka, hiyo nayo ni tàtizo kubwa kama hàtekelezi wajibu uliomleta ipasavyo rudisha kwao.Mkuu naona unataka nikufunulie vya ndani ya shuka have imetosha nimekuelewa lakini haipo hivyo
Ikishindikana ndo umuache aende zake. Yeye amekupa onyo mara ngapi kuhusu tabia zako na haubadiliki?Ni kweli huwa ni Kama ushamba flan hivi ila mtu analazimishwa kufanya huu ushamba....maonyo yanakuwa mengi sana hadi inashindikana kuonya kawaida.