Baba mkwe hataki nimrudishe mwanae anasema atamkanya kwa mara ya nyingine

Baba mkwe hataki nimrudishe mwanae anasema atamkanya kwa mara ya nyingine

Vip iwapo tabia haibadiliki, hivi unajua changamoto ya kuishi na mwenzio ambae hakusikilizi?


Ukiona mke kafikia hatua hiyo ya utovu wa nidhamu ujue wewe Ndio unamatatizo/umepwaya Sana Mkuu


Tulishasema katika vikao vyetu kuishi na mwanamke kunahitaji akili/maarifa na sio vitu wala kisomo Why This? B'se mwanamke amepewa kuelewa hivyo anadai Akili kutoka kwa mme wake


Kwaiyo ukiona mke kakushinda usitafute mchawi mkuu, mchawi ni wewe mwenyewe 😂👉jiangalie mwenyewe, kutathmini utagundua kuna kitu kikubwa umekosa kwaajili ya mke wako Ndio maana hakutii
 
Ukiona mke kafikia hatua hiyo ya utovu wa nidhamu ujue wewe Ndio unamatatizo/umepwaya Sana Mkuu


Tulishasema katika vikao vyetu kuishi na mwanamke kunahitaji akili/maarifa na sio vitu wala kisomo Why This? B'se mwanamke amepewa kuelewa hivyo anadai Akili kutoka kwa mme wake


Kwaiyo ukiona mke kakushinda usitafute mchawi mkuu, mchawi ni wewe mwenyewe 😂👉jiangalie mwenyewe, kutathmini utagundua kuna kitu kikubwa umekosa kwaajili ya mke wako Ndio maana hakutii
Labda unaweza niorodheshea huenda nikawa nimepungukiwa na nini?
 
Sio kuwajaribu. Ndo tabia zetu
Sasa hizi tabia zenu zitawaumiza maana unakuta miaka 10+ tupo pamoja bado una jaribu jaribu tu😃
Nami nitajaribu kukujaribu kwa kifinyo kidogo
 
Sasa hizi tabia zenu zitawaumiza maana unakuta miaka 10+ tupo pamoja bado una jaribu jaribu tu😃
Nami nitajaribu kukujaribu kwa kifinyo kidogo
Kama wa kwako anavumilia kifinyo endelea tu mkuu. Mimi kifinyo hapana...utanipoteza siku hiyo hiyo.
 
Kichwa cha habari ni low level of discipline? anaweza kaidi agizo papo kwa papo huku unaona.
Mke haagizwi kama mtoto mdogo, ni mtu mzima na akili kàma zako. Mkeo mnapanga utaratibu wote na namna ya kutekeleza.
Sasa anakaidi agizo kivipi?
Ebu sema uliagiza nini akakaidi papo kwa papo tuone kama agizo lako lilikidhi vigezo vya kuwa agizo.
Usije ukawa unaagiza mambo ya kitopolotopolo.
 
Mkuu hainihusu vip wakati nilienda kumchukua mwenyewe? Sasa akitokea hajafika nyumbani nani atawajibishwa? yani unafikiri mzee wake akisema tunamtaka mtoto wetu kama ambavyo tumekukabidhi utasema nini mbele ya kizimba?
Mkuu, amka usingizini.
 
Kama wa kwako anavumilia kifinyo endelea tu mkuu. Mimi kifinyo hapana...utanipoteza siku hiyo hiyo.
Unapotelea wapi
Ikiwa ni mimi huku ndio nakufinya utapotea ila akilufinya yeye ambaye ulijaribu kumjaribu maamuzi yake utaomba tu msamaha😅
 
Mke haagizwi kama mtoto mdogo, ni mtu mzima na akili kàma zako. Mkeo mnapanga utaratibu wote na namna ya kutekeleza.
Sasa anakaidi agizo kivipi?
Ebu sema uliagiza nini akakaidi papo kwa papo tuone kama agizo lako lilikidhi vigezo vya kuwa agizo.
Usije ukawa unaagiza mambo ya kitopolotopolo.
Mkuu naona unataka nikufunulie vya ndani ya shuka have imetosha nimekuelewa lakini haipo hivyo
 
Kichwa cha habari ni low level of discipline? anaweza kaidi agizo papo kwa papo huku unaona.
Ashakula kozi yote kukuhusu baada ya kozi kagundua anakumudu, kagundua una uoga sana, kagundua huwez mgusa, kagundua neno polisi kwako hutak kulisikia. Kwa taarifa yako grafu ya kukudharau itaongezeka na mkisha zaa tegemea kuletewa mtoto toka nje kabisa
 
Unapotelea wapi
Ikiwa ni mimi huku ndio nakufinya utapotea ila akilufinya yeye ambaye ulijaribu kumjaribu maamuzi yake utaomba tu msamaha😅
Inategemea. Kupigana ni mambo flani hivi ya kishamba. Kama kakushindwa afungashe aende
 
Ashakula kozi yote kukuhusu baada ya kozi kagundua anakumudu, kagundua una uoga sana, kagundua huwez mgusa, kagundua neno polisi kwako hutak kulisikia. Kwa taarifa yako grafu ya kukudharau itaongezeka na mkisha zaa tegemea kuletewa mtoto toka nje kabisa
Ndio maana namuondoa mkuu
 
Back
Top Bottom