FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Unless uhame mkoa uende mafichoni, otherwise atakutafuta akumalize kwa kuvujisha na ili apoteze ushahidiUnakubali halafu break ya kwanza ni kurusha taarifa mtandaoni na kuisambaza audiovisual
Haya maswali tuwabane polisi hadi wajibu, haiwezekani watu wanauawa tu kiajabu ajabu halafu tukachekeana, tusipowajibishana haya mauaji yataendelea, polisi wabanwe waseme ukweli, nani kamuua huyu jamaa?!Na kwanza tambara la deki lina urefu wa kutengeneza sehemu ya kuingizia shingo na kutosha kuninginiza?wajuzi nisaidieni.Vipi alikuwa sero pekee yake
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Uchawi ni sawa na umeme ukiwa na bad conductor yaani negative side ni lzm utalogekaToa majina yako na ya mama yako kisha ukae kwa kutulia😅!!! Pemba tu hapo inatosha kukunyoosha
Acha wamalizane Ili idadi ya waovu ipungueKimeumana hapo mboga moto ugali moto maamae
Kumbe unaelewa, ukiwa huna tatizo mtu kukuloga inakuwa kazi kulogwa lazma uviziwe flani mara nyingi mlengwa hatakiwi kujua kama anaenda kufanyiwa niniUchawi ni sawa na umeme ukiwa na bad conductor yaani negative side ni lzm utalogeka
Kama ni mbwa kala mbwa case closedHaya maswali tuwabane polisi hadi wajibu, haiwezekani watu wanauawa tu kiajabu ajabu halafu tukachekeana, tusipowajibishana haya mauaji yataendelea, polisi wabanwe waseme ukweli, nani kamuua huyu jamaa?!
Tambarara la deki ni nguo chakavu na haina uwezo wa kubeba kilo 70Na kwanza tambara la deki lina urefu wa kutengeneza sehemu ya kuingizia shingo na kutosha kuninginiza?wajuzi nisaidieni.Vipi alikuwa sero pekee yake
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
We hutaki kula mema ya nchi?Dah hii
Dah hizi kazi za haya majeshi hazifai bas kabisa..
Bora nikamwage pili pili zangu hoho barbrn,
Kazi ni kutumwa kuua mtu asokua na hatia na hutakiwi kukataa
Wapo wapi hao jamaa?Hata ukienda kuua ni lzm uuliwe Ili kumficha muuaji mkuu.
Rejea majambazi waliotaka kummaliza Lisu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baba home boy mtoto PGO, Mie nimechoka Kwa kweli! Wacha inyeshe.....
Ukiwa huko ndan ya system akili yako yako ya kufikiri Mara mbilimbili inakua kando huko ni amri na kutekeleza tuYaani mtu anakutuma kwenda kumuua mtu asiye na hatia na ww unaenda!!!!!
Hata kama mtu ni boss wako ndio akupe tu maagizo ya kipumbavu na ww unatii hata bila kufikiria mara mbili?!!!
Vilaza
Si kweli! Naye alikuwa na mgawo.Ukiwa huko ndan ya system akili yako yako ya kufikiri Mara mbilimbili inakua kando huko ni amri na kutekeleza tu
Na huenda hao hao polisi watapewa kazi ya kufanya uchunguzi ili ukweli upatikaneNaiona kesi nyingine ya askari kuuwa askari ili kupoteza ushahidi wa mauwaji na uporaji.
JFK rais wa America alivyopigwa risasi muuwaji naye kapigwa risasi kuficha SiriHata ukienda kuua ni lzm uuliwe Ili kumficha muuaji mkuu.
Rejea majambazi waliotaka kummaliza Lisu
Unatumwa ukaue then unajua nawe utauwawa kuficha siri.JFK rais wa America alivyopigwa risasi muuwaji naye kapigwa risasi kuficha Siri
Hii yote laana ya hamzaExactly [emoji817] jamaa wamemuuwa maybe hizoo 33.7m waligawana ngazi zote...lets wait watauwana wengi sana maana show imeshakuwa viral..
Hawa maaskari hawa zeroes kabisaa!!!hawajielewi yana roho mbaya acha yafeUnadhani unavyotumwa utaambiwa hana hatia, si wanakwambia tu huyo ni jambazi sugu la kutumia silaha. Na wewe utaenda kuua kwa confidence ukidhani ni jambazi kweli