Nyie ndio mmepaniki na umburula wenu, hivi hamjaona mada inataka nini?Relax! Usipaniki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ndio mmepaniki na umburula wenu, hivi hamjaona mada inataka nini?Relax! Usipaniki.
Na wewe unaamini kuna mapepo? Kama wewe mkristo wa kweli kwanini uwe na mapepo?KWANINI WAISLAMU NIKIWAOMBEA KWA JINA LA YESU PEPO TOKA KWELI MAPEPO YANAWATOKA WAKATI HUWEZI KUTOA PEPO KWA JINA LA MTUME AU NABII ISIPOKUWA MUNGU ....
Baada ya vizazi na vizazi kupita nyakati na matukio kadhaa ndo kikaibuka kizazi cha Waafrika.Sie African kipindi hicho tulikuwa wap
Yeye ndiye KRISTO.Kwa uchache niseme t
kwa hiyo Yesu alikuwa Dini gani?
Maandiko yanayothibitisha dai lako yapo wapi?.Ibrahim hawezi kuwa Muislam kwa sababu UISLAM HAUKUWAHI KUWEPO wakati wake.
Uislam umekuja Karne ya saba na umeletwa na Mohamad.
Unarudia yaleyale.Unanukuu Biblia( unayodai imechakachuliwa) ili kuprove Uislam [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi hiyo Quran yenu huwa haijitoshelezagi?
Mambo ya Mungu ujibiwa na Mungu.Ukweli ni kwamba Uislam ulianzishwa na Nabii Muhammad mwaka 622 BK huko Arabia. Kabla yake, dini zilizokuwepo zilikuwa ni Uyuda ambayo ni dini rasmi ya Wayahudi (Judaism) na Ukristo ambayo ni dini ya mataifa wasio Wayahudi ulioanza miaka kadhaa baada ya Yesu kuwa ameondoka mwaka 33BK
Aliye muumba Ibrahim ndiye aliyesema alikuwa Muislamu.Hiyo aya kwanini imesema ibrahimu hakuwa myahudi wala mkristo bali muislamu,? iluandikwa na nani? Kipindi gani?
Maana hiyo aya imeelezea kuhusu ukristo, na ukristo ulikuja karne baada ya Yesu wala haukuwepo wakati wa Ibrahimu, sasa wapi ibrahimu mwenyewe aliutaja kuwa yeye alikua Muislam?
Nb: hakua pia mkristo
Biblia imeundwa lini kwani?.Historia ya biblia inarudi nyuma maximum 6000yrs, yaani kwenye uumbaji.
Lakini kulikuwa na jamii nyingine zinaishi, older than 6000yrs, na maandiko mengine ya zamani zaidi kuliko ya Wayahudi kutoka kwenye jamii za Mashariki (mostly India).
At the moment naelewa zaidi mafundisho/understanding yao, their description of God and life kuliku hizi Abrahamic religions.
Inje ya mdomo wako na midomo ya waliokulisha hiyo tafsiri,una ushahi wowote toka Kwa Mungu mwenyewe akidai hivyo?.Dini ni mfumo na utaratibu aliounzisha mwanadamu Ili kumtafuta MUNGU.
Dini si mpango wa Mungu bali ni mpango wa Mwanadamu
Nilishajibu hapa,Ndo maana tunasema hiki kitabu kina contradictions. Hao waislamu kabla ya mudi walikuwa wanamrefer mnyaazi na mudi pia kwenye shahada ya kwanza kama ambao walianza kufanya baada ya mudi kuja?
Tupe tafsiri YAKO.Inje ya mdomo wako na midomo ya waliokulisha hiyo tafsiri,una ushahi wowote toka Kwa Mungu mwenyewe akidai hivyo?.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Sababu hayo ni mazingaombwe na viini macho kwa wasiyo na imani thabiti,KWANINI WAISLAMU NIKIWAOMBEA KWA JINA LA YESU PEPO TOKA KWELI MAPEPO YANAWATOKA WAKATI HUWEZI KUTOA PEPO KWA JINA LA MTUME AU NABII ISIPOKUWA MUNGU ....
Hujajibu swali bado, hiyo aya ipo ndani ya kuran na imeutaja ukristo, wakati huo ukristo ulishaelezea historia ya ibrahimuAliye muumba Ibrahim ndiye aliyesema alikuwa Muislamu.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Mbona hujajibu swali?Yeye ndiye KRISTO.
YY NDIYE BWANA WA SABATO .
YEYE NDIYE, AMBAYO YUKO NA ALIYEKUWEPO.
Pole sana kwa jibu lakoAlikuwa mcha Mungu,Kristo Yesu pia hakuwa na dini .
Nimejibu ila jibu linakuhitaji ufikiri. Sasa labda uombe nikurahisishie!!Mbona hujajibu swali?