Baba wa Manabii na Mitume wote Ibrahimu au Abrahamu alikuwa Dini gani?

Baba wa Manabii na Mitume wote Ibrahimu au Abrahamu alikuwa Dini gani?


Nakukumbusha tu kuwa kilichoulizwa hapo kimejibiwa na maandiko ya Mungu wa waislamu.
Kama unajibu nawe kwa maandiko ya Mungu wako jibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Nimeshakujibu kuwa biblia haijasema kuwa ibrahimu alikua mkristo

Mimi nimeuliza tuu kwamba ibrahimu ameanza kuwa muislam kipindi cha ukristo?[emoji1] kulingana na Aya ya Mungu wa quran.

Kwahiyo quran imekuja kuthibitisha kuwa ibra ni muislamu karne ya juzi tuu hapo maana aya imetaja na ukristo na tunajua ukristo ulianza baada ya Yesu


Swali lingine tena, hadithi za nabii issa nazo zimekuja kuandikwa kwenye quran wakati huo kina Yohana, Mathayo walishaaandika kuhusu Yesu[emoji3][emoji3]


Hii inaonesha quran ni copy $ paste ya vitabu vya biblia
 
Basi ahadi zilinenwa kwa Ibrahimu na kwa mzao wake. Hasemi, Kwa wazao, kana kwamba ni wengi, bali kana kwamba ni mmoja, Kwa mzao wako, yaani, Kristo.

Wagalatia 3:16.
 
Basi vizazi vyote tangu Ibrahimu hata Daudi ni vizazi kumi na vinne; na tangu Daudi hata ule uhamisho wa Babeli ni vizazi kumi na vinne; na tangu ule uhamisho wa Babeli hata Kristo ni vizazi kumi na vinne.

Mathayo 1:17
 
13 Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti;
14 ili kwamba baraka ya Ibrahimu iwafikilie Mataifa katika Yesu Kristo, tupate kupokea ahadi ya Roho kwa njia ya iman.


29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.
 
WAGALATIA 3 : 29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.

Sisi wakristo ahadi yetu tuliyopewa na Yesu ni kurithi uzima wa Milele pamoja na baba yetu Ibrahim.

JE NINYI WAISLAMU mnolithi ulevi kwenye pepo YENU ibrahimu anakaa na pombe????????
 
Quran 2:97

Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur’ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.”

ADUI WA MALAIKA GABLIEL NI ADUI WA MUNGU..

KWAHIYO ALIYEISHUSHA QURAN NI ADUI AA MUNGU AMBAYE NI SHETANI.

QURAN IMESHUSHWA NA SHETANI
 
Mnachonichekesha sana WAISLAMU.

Ibrahim amekulia Yelusalemu.
Islael.

NYIE
Quran Imeandikwa Meka JE Ibrahim amewahi hata kufika Meka Saudi Arabia?????

Nerere azaliwe Tanzania alafu Mnigeria aandike habari za Nyerere na kudai eti ameishi na Nyerere.....
KWAHIYO anamjua Nyerere kuliko WATANZANIA alioishi nao. 1922- 1999.

Tena aje huyo mtume kutoka Nigeria atokee Mwaka 2050 ASEME aliishi na nyerere Nigeria ......


PUNGUZENI UPUMBAVU
 
Nimeshakujibu kuwa biblia haijasema kuwa ibrahimu alikua mkristo

Mimi nimeuliza tuu kwamba ibrahimu ameanza kuwa muislam kipindi cha ukristo?[emoji1] kulingana na Aya ya Mungu wa quran.

Kwahiyo quran imekuja kuthibitisha kuwa ibra ni muislamu karne ya juzi tuu hapo maana aya imetaja na ukristo na tunajua ukristo ulianza baada ya Yesu


Swali lingine tena, hadithi za nabii issa nazo zimekuja kuandikwa kwenye quran wakati huo kina Yohana, Mathayo walishaaandika kuhusu Yesu[emoji3][emoji3]


Hii inaonesha quran ni copy $ paste ya vitabu vya biblia
Kesi imefugwa kwa jibu lako juu ya Uzi huu.Asante.

Hayo mengine fungua uzi wake utafundishwa.
 
Mnachonichekesha sana WAISLAMU.

Ibrahim amekulia Yelusalemu.
Islael.

NYIE
Quran Imeandikwa Meka JE Ibrahim amewahi hata kufika Meka Saudi Arabia?????

Nerere azaliwe Tanzania alafu Mnigeria aandike habari za Nyerere na kudai eti ameishi na Nyerere.....
KWAHIYO anamjua Nyerere kuliko WATANZANIA alioishi nao. 1922- 1999.

Tena aje huyo mtume kutoka Nigeria atokee Mwaka 2050 ASEME aliishi na nyerere Nigeria ......


PUNGUZENI UPUMBAVU

Watu tunataka jibu.Mbambamba za nini?.
 
Biblia ni mkusanyiko wa vitabu ambavyo vingi biography ya muandishi,watu na matukio... biography haiwezi kuwa kitabu Cha Mungu
Qurani ni janja janja tu, hivi huyo Ibrahimu Mwislamu wa kwenye Qurani ni mtoto wa nani ?
Yaani Baba wa huyo Ibrahimu anaitwa nani kwa mujibu wa Qurani ?

Kumtaja tu hakumaanishi ni Mhusika mwenyewe.
 
Back
Top Bottom