Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka kulea ni swala la muda tu na wakipata malezi mema kila mtu atakua na maisha yake na Mimi mita ski na mume wangu.Hii story kali sana either ya kutunga auya mtu mwingine ila sio yakwako ninavyo kufahamu. Funga naye ndoa hongera ila afahamu tu kuwa kila mtoto atakuwa na tabia yake kutoka vizazi vya baba zao awe tayari kuwa mvumilivu kwa lolote atakalo liona asiwe na hasira aone kawaida na awe tayari kuwashauri, kuwa karibu nao na kuwaonyesha upendo kama baba mlezi. wasije wakamkera sana ikawa chanzo cha yeye kutaka kukuacha maana sio rahisi azipende tabia za wote wawili ambao sio damu yake, mwingine aliamua kuwapeleka boarding walipo maliza alikutana na tabia zile zile ni afadhali angekuwa nao tu karibu ili nao wamzoee baba wajue baba molezi hataki hiki na kile, Je hao watoto 2 utawaambia ukweli kuwa huyo sio biological father au utawaficha . Kila la kheri.
Hii ni chai. Anafurahisha genge tu [emoji16][emoji16][emoji16]Unatania au ni kweli? Huo mwili wako una watoto watatu? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] hata mtoto mmoja siamini.
Kama ni kweli hongera sana sijui ni mazoezi, genes au vyote.
Oyona mbiaEm ngoja nikirudie kusoma kitabu cha "Three Sweeters One Husband" alafu nitarudi labda nitakuwa na jipya la kukuambia.
Mmmh lugha gani hii mkuu?Oyona mbia
Three seeeters one husbandMmmh lugha gani hii mkuu?
sasa ungeanza na neno Author nilizani ni tusi nikitaka niyakumbuke matusi ya akiba nikuporomoshee 😂😂😂 majina mengine haya bhanaThree seeeters one husband
Author: Oyono Mbia
Hakuna tusi jipya mwamba chini ya juasasa ungeanza na neno Author nilizani ni tusi nikitaka niyakumbuke matusi ya akiba nikuporomoshee [emoji23][emoji23][emoji23] majina mengine haya bhana
Powa mkuu.Hakuna tusi jipya mwamba chini ya jua
Wajua MAJUTO ya kuoa SINGLE MOTHER?Mtoto wa kwanza nilimzaa na class mate wangu. Wakati huo wote tukiwa hatuna ajira. Wazazi wote walitusaidia. Ikifika wakati kaka yake alimuita Gabon akamsaidie biashara. Aliniacha na mtoto wa miaka miwili. Tulipoteza mawasiliano.
Mtoto wa pili nilimzaa na aliyekuwa boss wangu. Alikuwa msaada mkubwa kwangu. Alisaidia hata ada ya shule ya mtoto mkubwa. Huyu bwana alipata matatizo kazini na alifungwa
Mtoto wa tatu nimemzaa na jirani yangu. Huyu kaka ndiyo kwanza alikuwa amehamia mkoa huu. Mimi nikiwa mtu wa karibu nilimsikiliza chakula na kumfahamisha mij. Nilipopata ujauzito aliamua kunifahamisha kwa ndugu zake
Baba Tatu anataka kunioa na mipango ya mahari imekamilika. Baba Mosi na baba Pili wote wamerudi na kila mtu anataka kuanzisha familia na mimi
Umeyatoa wewe inatosha, umefurahi?Jf mnawaogopa wale maarufu humu?:hivi angeleta mtu mwingine na huu uzi si tungekuwa tunasoma tusi la 887 sasa hivi. Nilitegemea nikute maneno kama
Malaya
Tapeli
Huna mapenzi ya kweli
Ho umezalishwa
Hoo singel mother
Mara kahaba
Vipi leo hamtukani au munamwogopa sky