hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
[emoji3][emoji3][emoji3]HAUJAUMIA?
Nasikia ukiwa na hela DAR, hata ukijamba demu anakwambia, pole baby, hujaumia? Ishiwa sasa, utasikia, anajambajamba ovyo, nitolee kipindupindu chako hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3]HAUJAUMIA?
Nasikia ukiwa na hela DAR, hata ukijamba demu anakwambia, pole baby, hujaumia? Ishiwa sasa, utasikia, anajambajamba ovyo, nitolee kipindupindu chako hapa
Tafuta mwenye hela kati ya hao 3 si ndio mnachopenda.Mtoto wa kwanza nilimzaa na class mate wangu. Wakati huo wote tukiwa hatuna ajira. Wazazi wote walitusaidia. Ikifika wakati kaka yake alimuita Gabon akamsaidie biashara. Aliniacha na mtoto wa miaka miwili. Tulipoteza mawasiliano.
Mtoto wa pili nilimzaa na aliyekuwa boss wangu. Alikuwa msaada mkubwa kwangu. Alisaidia hata ada ya shule ya mtoto mkubwa. Huyu bwana alipata matatizo kazini na alifungwa
Mtoto wa tatu nimemzaa na jirani yangu. Huyu kaka ndiyo kwanza alikuwa amehamia mkoa huu. Mimi nikiwa mtu wa karibu nilimsikiliza chakula na kumfahamisha mij. Nilipopata ujauzito aliamua kunifahamisha kwa ndugu zake
Baba Tatu anataka kunioa na mipango ya mahari imekamilika. Baba Mosi na baba Pili wote wamerudi na kila mtu anataka kuanzisha familia na mimi
Khakhakhaaa! Babu usiwaze nishabariki kitambo and right now am so happy
Hapa nikionacho, kwa yeyote atakayekuoa, BASI UTACHEPUKA NA WALIOBAKI... We olewa na unayempenda sana... Ila jua kuwa viporo utavipasha tu...Mtoto wa kwanza nilimzaa na class mate wangu. Wakati huo wote tukiwa hatuna ajira. Wazazi wote walitusaidia. Ikifika wakati kaka yake alimuita Gabon akamsaidie biashara. Aliniacha na mtoto wa miaka miwili. Tulipoteza mawasiliano.
Mtoto wa pili nilimzaa na aliyekuwa boss wangu. Alikuwa msaada mkubwa kwangu. Alisaidia hata ada ya shule ya mtoto mkubwa. Huyu bwana alipata matatizo kazini na alifungwa
Mtoto wa tatu nimemzaa na jirani yangu. Huyu kaka ndiyo kwanza alikuwa amehamia mkoa huu. Mimi nikiwa mtu wa karibu nilimsikiliza chakula na kumfahamisha mij. Nilipopata ujauzito aliamua kunifahamisha kwa ndugu zake
Baba Tatu anataka kunioa na mipango ya mahari imekamilika. Baba Mosi na baba Pili wote wamerudi na kila mtu anataka kuanzisha familia na mimi
Umebariki nini bila baraka zangu?Khakhakhaaa! Babu usiwaze nishabariki kitambo and right now am so happy
Acha basi babu nishabariki hichohicho unachosemeaUmebariki nini bila baraka zangu?
Siku hizi unaongea kwa mafumbo kama Khadija Kopa...Acha basi babu nishabariki hichohicho unachosemea
Hahahaa! Karibu chai kwanza babu!Siku hizi unaongea kwa mafumbo kama Khadija Kopa...
Khaaa
Sasa chai na K Vant wapi na wapi?Hahahaa! Karibu chai kwanza babu!
Mwe Mwe mweee... We bujibuji wewe... Fyo fikii ifyo?HAUJAUMIA?
Nasikia ukiwa na hela DAR, hata ukijamba demu anakwambia, pole baby, hujaumia? Ishiwa sasa, utasikia, unajambajamba ovyo, nitolee kipindupindu chako hapa
Ohooo k teina haya!Sasa chai na K Vant wapi na wapi?