Baba wa watoto wangu watatu (kila mmoja na babake) wote wanataka kufunga ndoa na mimi

Tafuta mwenye hela kati ya hao 3 si ndio mnachopenda.
 
Hapa nikionacho, kwa yeyote atakayekuoa, BASI UTACHEPUKA NA WALIOBAKI... We olewa na unayempenda sana... Ila jua kuwa viporo utavipasha tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…