Monica Mgeni
Member
- Oct 7, 2021
- 82
- 134
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo, viongozi wa BAVICHA, John Pambalu na ujumbe wake wamekamatwa na jeshi la Polisi Babati wakiwa kijiweni, wakijadili na vijana wenzao masuala ya nchi yao.
Polisi Babati wanasema hili ni kusanyiko lisilokuwa na kibali, hivyo John Pambalu (mwenyekiti wa BAVICHA) na wenzake 7 wamekamatwa kwa kosa hilo.
PICHA: Viongozi wa BAVICHA Taifa wakiongozwa na Mwenyekiti John Pambalu wakiwa kwenye kijiwe cha Kahawa wakitoa elimu ya Uraia kuhusu KATIBA MPYA.
Pambalu kwao ni babati? Mbona jezi za chama kazipigilia na wenzie? Hapo ni familia au chama?
Sikia acheni Kuwahamasisha watu kugomea SENSA. Afu acheni kuwafata watu kwenye kazi zaoo na badala yake fanyeni mikutano ya Hadhara ili watu waje na wasiopenda wasijee. Sio kufata watu kwenye kazi zao
Wanazidi na wao, nchi haiwezi kwenda kwenda tu bila taarifa
Wapuuzi kweli nyie badilisheni kwanza Katiba ya Chadema Mbowe aache kutawala maisha.
Taarifa: Jeshi la Polisi limewakamata na kuwashikilia viongozi na wafuasi wa CHADEMA waliopanga kufanya fujo huko manyara wakidai ni kongamano la Katiba Mpya.
Viongozi hao wa BAVICHA Twaha Mwaipaya , John Pambalu na wenzao wako kizuizini kwa kuvunja Sheria za nchi.
pamoja na mazungumzo yanaendelea lakini serikali inawaonyesha inaweza kuwafanya chochote,wakati wowote.
Hiyo inatokea Tanzania na Kwa polisi wa kitanzania pekeeHivi kwenda kijiweni kwenye kahawa mpaka utoe taarifa?.
Leo, viongozi wa BAVICHA, John Pambalu na ujumbe wake wamekamatwa na jeshi la Polisi Babati wakiwa kijiweni, wakijadili na vijana wenzao masuala ya nchi yao...