ngenya
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 1,313
- 1,773
Hapana, itachukua Tena miaka mingi kupata bahati ya kuongozwa na Rais mwanamke mwenye hekima,busara na utu
Kuongozwa na mwanamke ni bahati? Shubamiti!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, itachukua Tena miaka mingi kupata bahati ya kuongozwa na Rais mwanamke mwenye hekima,busara na utu
Ni kweli kabisa tatizo ni kubwa sana kwa vijana wa aina hii...Nimetafakari post yake naona tozo iendelee mpaka akili zirudi. Kizaz cha kijinga sana. Na huyo mtaani kwao unakuta ni kiongoz
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji12][emoji12]Ya baba yako hutaki iwekwe?
Mataga mnakazi kweli.
Yes,kwa mujibu wa PGO 322(1)Kuongozwa na mwanamke ni bahati? Shubamiti!
kama mwakilishi ni mpumbavu kiasi hiki wanaowakilishwa wanafananaje? wapumbavu plus plusHaya maoni ya kipumbavu nimeona yametolewa na Babu Tale!
[emoji3][emoji3]Hivi huyu baba si ndio alijiita chawa wa yule mwendawazimu wa chattle
ONA SASA WABUNGE WETU, JAMANI HIVI TUNAWAZA KWELI AU TUNAWAZUA, = KUWAZUA NI KUWAZA YALE YALIYOKWISHA WAZWA WEWE UNAONA NI WAZO JIPYA KUMBE BUREE KABISA. (tafisiri isiyo rasimi)Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
kila rais ajaye atengenezewe hela yenye sura yake hivyo Tz kila miaka 10 kutakuwa hela mpyaNashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
kwamba jinsia yake ndiyo imemuwezesha kuwa rais? like seriously? kichwa chako ni kizima kweli wewe au hujui uzito wa kauli hiyo?Kwani uongo! Rejea hotuba za Samia mwenyewe.
"......MTU AKIKUSHAURI JAMBO LA KIPUMBAVU, AKIJUWA KUWA NI JAMBO LA KIPUMBAVU, NA AKIJUA KUWA WEWE ANAYEKUSHAURI SIO MPUMBAVU, HALAFU UKALIKUBALI,......ANAKUDHARAU.......". - Mwl. Julius Kambarage Nyerere - Mbeya, 1995.Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,
nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,
#Twende na Samia Had 2035#inshallah"