Babu Tale: Nashauri itengenezwe Fedha yenye sura ya Rais Samia

Babu Tale: Nashauri itengenezwe Fedha yenye sura ya Rais Samia

Madhara ya kuwapeleka waganga WA kienyeji bungeni
 
Na huyu ndio picha halisi ya wengi wa wabunge wa CCM kila akiongea ni mambo ambayo anapaswa kuongea mvuta mjani.
 
Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,

nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,

#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
ONA SASA WABUNGE WETU, JAMANI HIVI TUNAWAZA KWELI AU TUNAWAZUA, = KUWAZUA NI KUWAZA YALE YALIYOKWISHA WAZWA WEWE UNAONA NI WAZO JIPYA KUMBE BUREE KABISA. (tafisiri isiyo rasimi)
 
Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,

nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,

#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
kila rais ajaye atengenezewe hela yenye sura yake hivyo Tz kila miaka 10 kutakuwa hela mpya
 
Kabla ya yote tuanze na aliyeweka kigezo cha "STANDARD 7 FAILURE "awe mtunga SERA za nchi inayotaka kwenda UCHUMI WA JUU duniani...
 
Nashauri itengenezwa hela yenye picha ya Rais Samia, sababu itachukua miaka mingine hata 50 kuja kutokea Tena kuongozwa na Rais mwanamke kwenye Taifa letu, hii Ni bahati kubwa Sana Sana,

nashauri waziri wa fedha alifanyie kazi hili,

#Twende na Samia Had 2035#inshallah"
"......MTU AKIKUSHAURI JAMBO LA KIPUMBAVU, AKIJUWA KUWA NI JAMBO LA KIPUMBAVU, NA AKIJUA KUWA WEWE ANAYEKUSHAURI SIO MPUMBAVU, HALAFU UKALIKUBALI,......ANAKUDHARAU.......". - Mwl. Julius Kambarage Nyerere - Mbeya, 1995.
 
uchumi nidhaifu, korona imetutwanga, tunamiradi mikubwa inasuasua, shulezetu ni duni, hospitali, Barabara, umeme, maji bado shida alafu hayawani mmoja anatuletea mawazo ya kipuuzi yakutugharimu fedha zetu nyingi tulipazo Kodi. Yote kisa kujipendekeza kwake puu mbavu sana jinga kabisa
 
Back
Top Bottom