Babu Tale: Wanaharakati uchwara siasa zimewashinda sasa wanashindana na Diamond Platnumz

Tale bana. Huyu si ndo hajui kufua boxer zake [emoji23][emoji23]
 
Babu tale anakosea sana kuliingilia hili swala kisiasa. Atayaona matokeo yake. Bora angekaa kimya au angeiga busara za Diamond mwenyewe
Mgombea wenu aliyeangushwa ambaye pia ni makamu mwenyekiti wa chama chenu kasema na unaona yeye sio mwanasiasa ajabu meneja wa mtu mnayemsema yeye akae kimya!??
Pumbavu sana nyie hata hivo wamewastahi Sana wangeweza kutoka na kuomba msaada kwa wanaccm waliofaidika na huduma ile.
Kwani ni kosa kuwa CCM au kuifanyia kampeni!?
 
Madhala ya kuokota ubunge bila kutarajia ndo aya Sasa,
 
Hujitambui Kumbe.....Wapiga kura ni akina.nani?!Na Vipi wamemuathiri Mondi.kwenye mission yake?
 
Kwaiyo kijana akisifia wanaotutesa sisi tunapaswa kumshabikia tuu eeh!! Acheni upuuzi wenu kaambieni hako kadogo kasisifie mambo yahovyo halafu sisi tumsapoti mambo yake ndio maana kanaimbaga matusi tu
Diamond sio mwanamuziki bali ni muimba matusi, hamna sanaa kabisa
 
Sitashangaa kama nikisikia hiyo mipasho yote kaiongea akiwa ndani ya bunge...wakati wenzake wameiongea/andika nje ya bunge
 
Why nipende vya kuokota , elewa mkuu 75% ya wabunge wameokota ubunge KWA mbeleko ya mwenda zake , nje ya ushindani na vyama vingine katika majimbo yao bado mwendazake alikata majina ya wanaccm waliokua wameshinda kwenye Chama chao ccm ,wa tatu anachukuliwa wa kwanza anaachwa, ndo kuokota kwenyewe
Hebu kaokote na wewe tuone
 
Yani akae neutral kukufurahisha wewe?
Jinga kabisa
Asipokaa neutral asilalamike na wewe usilalamike tunapokupinga. Unalilia lia nini wewe na hicho kimdudu kinachoitwa Babu Tale. Yaani sisimizi Tale anamtishia nyau tembo LISSU! Duniani kuna vituko.
 
Hii kauli angesubiri aitoe tar 27 june kama Diamond angeshinda hiyo tuzo....KAMA!
 
Wana Mrogoro ndo walichomtuma akaongee Bungeni sio?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…