Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Kama dawa zinafanya kazi vzuri bac mungu twakuomba uumpe maisha marefu na usimpe moyo wa kifisadi ili asaidie wengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule babu wa Loliondo aliyepata umaarufu kwa muda mfupi kutokana na dawa yake kutibu magongwa sugu amefungiwa kuendelea ma kutoa dawa kwa wagonjwa na wizara ya afya,wizara imesema inataka kuifanyia utafiti dawa hiyo pia wamemsauli mchungaji huyo mstaafu kuisajili dawa yake mamlaka ya chakula na dawa(TFDA). Source.Channel ten habari ya saa 7 mchana.

Hivi hii serikali iliyoshindwa majukumu yake inahusikaje na shughuli za babu wa Loliondo? Jamani ama kweli tunashida sana nchi hii serikali ya marufuku imetoka wapi? yaana baada ya kusaidia kuboresha mazingira watu wapate huduma wao wanapiga marufuku? hivi wananchi ni mabwege kiasi hicho mbona hawapigi marufuku hospitali yao ya ocean road inayoendelea kuua watu wasio na hatia kila siku hebu tuamkeni watanzania wenzangu hawa majuha kalulu tukiwaachia tutaigia nao msikitini
[/COLOR]
sasa mkuu hapo mambo ya msikitini yameingiaje?
kapi hako?...babu anatibu vingi ujue
Kwa kweli watu tunazidi kufarijika na habari za Loliondo. Kitu ambacho bado sijaelewa, hivi watu wote mnatumia kikombe hicho hicho kimoja au unakwenda na kikombe chako unamiminiwa? Babu mungu akupe maisha marefu.